Salamu baada ya kutoka kifungoni

Katibu nakuomba PM pliz
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka yaan nakuonea huruma weka signature off
Hata sielewi pa kuzimia hiyo signature naona chenga chenga tu mie. Ngoja niokote hela ninunue simu haka kadude kamenifika hapaa
 
Pole mkuu. BAN ilinitesa sana
 
kumbe una cheo cha katibu mtendaji wa wadangaji njoo pm haraka ukutane na mwenyekiti wa CHAPUTA tuyajenge vizuri
We utakua umeathirika kisaikolojia kutokana na punyeto......ni nadanga na mashine ifanye kazi haswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…