Salamu kutoka Marekani: Ndulele/Ndulandula/Tulatula ni biashara nzuri

Prof Janabi wa JF

Senior Member
Joined
Jul 7, 2023
Posts
165
Reaction score
450
Mbali na uwepo wa supermarkets(Stores) nyingi huku Marekani, pia yako masoko ya wakulima au wanaita Farmers Market, at least kwa hapa nilipo sijui majimbo mengine kama kuna farmers markets.

Masoko yako mengi ambayo hufanyika mara moja kwa wiki. Lakini kwa kuwa yako tofauti unaweza ukainjoi tu. Yaani ni sawa na nyama za mbuzi Dar kuna Jumamosi mbuzi choma inapatikana Loliondo(Kibaha) Jumapili inapatikana Madale. Kwa wataalamu wa nyama za mbuzi wanaelewa.

Basi nikatinga kutafyta zaga zangu mara paap nakuta jamaa anauza ndulele au kikwetu tunasema tulatula. Nikasema nyumbani tunaona majani kumbe mtu anaweza kukusanya kontena akaleta huku akapiga hela. Haya nimeshwapa Idea. Chumeni ndulele safirisheni kuja US.

 
Mkuu unetumia silaha nzito sana
 
Mkuu unetumia sulaga nzito sana
Unajua ulimbukeni ni Mbaya sana. Jamaa kila siku ni kushusha uzi yupo Marekani so what?

Huu uzi kauleta kwa kejeli na hajafanya utafiti wake kabla ya kuuandika. Hakuna ndulele/ndulandula(Datura strominium) hapo ila Kakurupuka.

Tunajua JF ni sehemu ya kutoa depression za vijana na kupost vitu ambavyo ana viimergene au ana viwish kwenye maisha yake but muwe mnaweza kabla ya kuandika.
 
Achana naye dogo huyo. Tunajua yupo USA ya kwa Mafisa kwa Mambi Morogoro.
 
Naam nilipiga picha vibaya, kimsingi zinaitwa THAI Blah blah, ila ni ndulele kabisa
Hujapiga picha vibaya kwani picha haina shida na zinaonekana vizuri tu. Sema umeidownload hiyo picha na ukaja mbio mbio kupost bila kujua hiko ni nini?

Siku nyingine tuliza na tumia hilo fuvu lako kufikiria na kufanya utafiti kabla hujapost ushuzi wako humu JF.
 
Wew jamaa kiazi kweli, ndulele ziko wapi
 
Jamaa kazingua sana, anapost asichokijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…