Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani ni wewe ndio unaona ni ulimbukeni.Unajua ulimbukeni ni Mbaya sana. Jamaa kila siku ni kushusha uzi yupo Marekani so what?
Huu uzi kauleta kwa kejeli na hajafanya utafiti wake kabla ya kuuandika. Hakuna ndulele/ndulandula(Datura strominium) hapo ila Kakurupuka.
Tunajua JF ni sehemu ya kutoa depression za vijana na kupost vitu ambavyo ana viimergene au ana viwish kwenye maisha yake but muwe mnaweza kabla ya kuandika.
kwa hiyo hilo jambo linawauma ?Labda Kwa kuwa mleta mada yupo USA🥺,
Angalia pembeni ya hizo nyanya chunguHakuna ndulele hapo..ni nyanya chungu tu hizo.
Nahakikisha wanakerekaWabongo wana has hasira sana , mkuu Prof Janabi wa JF endelea kutujuza ya marekani
Mtoa mada anashambuliwa tu kwa sababu ameshindwa kuiweka mada yake vizuri na ikaonekana kana kwamba anatumia kick ili aonekane kuwa yupo Marekani.Unajua ulimbukeni ni Mbaya sana. Jamaa kila siku ni kushusha uzi yupo Marekani so what?
Huu uzi kauleta kwa kejeli na hajafanya utafiti wake kabla ya kuuandika. Hakuna ndulele/ndulandula(Datura strominium) hapo ila Kakurupuka.
Tunajua JF ni sehemu ya kutoa depression za vijana na kupost vitu ambavyo ana viimergene au ana viwish kwenye maisha yake but muwe mnaweza kabla ya kuandika.