Salamu kwa Kamishna Mkuu wa Uhamiaji, Passport za Tanzania zinakimbilia mikononi mwa wageni kupitia viongozi waandamizi na askari

Sijasoma yote Ila wewe jamaa inaonekana ni mzalendo kwerii kweriii.. kuna sehemu nilipita huko Kagera , wanyarwanda wamepata NIDA kibaoo, na wanajitambilisha kuwa wao ni watz wa kuzaliwa
Unajuaje kama ni wanyarwanda?watu wa mipakani kagera,Kyaka,mtukura,mlongo border au Karagwe,kwa kuwaangalia usoni,huwezi kuwatofautisha na raia wa nchi jirani.
Na inapokuja Swala la uraia kwanini watu wa kagera wanakuwa wahanga?kwanini wamasai,waluo,au wamakonde hawazungumziwi?hakuna tofauti kati ya mmasai wa TZ na Kenya
 
Sijasoma yote Ila wewe jamaa inaonekana ni mzalendo kwerii kweriii.. kuna sehemu nilipita huko Kagera , wanyarwanda wamepata NIDA kibaoo, na wanajitambilisha kuwa wao ni watz wa kuzaliwa
kwa kweli wewe ni mzalendo kweli kweli.rushwa katika nchi hii imetamalaki kweli kweli na si taasisi hizo tu ulizozitaja bali ziko nyingi.kagera ni sehemu tu ya mkoa ambao unao wageni wengi kweli kweli hata ukiwaangalia tu kwa sura zao utajua si watanzania.nenda kigoma mpaka maofisini wamejaa wageni kibao na hatujui huu mzaha watz utatupeleka wapi.ukiingia kwenye mabaa na maloji ya kageara wamejaa wakenya,watusi,warundi nk pia kigoma warundi wamekodi mpaka vyumba vya kulala wageni wanafanya biashara za ngono.nenda pia arusha wageni wamejaa.nchi hii rushwa imekithiri kweli kweli na mbaya zaidi wakubwa ndo mawakala wa hao wageni.kwa kweli ni kumwomba Mungu watu hao wawe na nia njema sababu huwezi kwenda mkoa wowote hapa nchini bila kuwakuta wageni na wengine wakishapenya mipakani wanakwenda moja kwa moja kujichanganya kwenye mikoa mikubwa kama dar,arusha,mwanza,nk.na watu hawa hutumia pesa nyingi kupata hizo huduma na kuna wanasheria wachache wanaoshirikiana na watu hawa ili kupata huduma hizo.Mungu ibaliki tanzania tuwe na wazalendo kama wewe.
 
inawezekana hata wewe ni mgeni na si mtanzania.kiswahili kinakutambulisha kuwa wewe si mtanzania.kagera ni mojawapo ya mikoa victim kwa wageni.hizo sehemu unazozitaja tunazijua sana,kyaka,mutukula,karagwe kote huko wamejaa wageni.hata ukiwa zuzu namna gani lazima utawashitukia tu.njoo hapa bukoba mjini uone wageni walivojazana kwenye mahoteli,mabaa tena hata ukiwauliza wako very free kusema mm ni mganda,mnyarwanda nk na wala hawajifichi.nenda pale liquid,the mint,sky way,miembeni kuna wadada wanajiuza mchana kweupe na wengi wao ni wa nchi jirani hala wewe unakanusha nn.humu ndani tuko wengi na tunajua mengi na tumekutana na mengi ktk pita pita zetu.
 
Kuna mmoja tuliambiwa sio Mtanzania,jamaa kigogo akasema ni mtanzania,akapata ubunge,akawa naibu waziri na kuwa waziri kamili
 
Nishawahi kutana na jamaa Warundi huko ughaibuni, wana passport za bongo na wanazitumia kuzamia Canada na Australia kama wakimbizi...
SWALI LA UFAHAMU;
Hawa wageni wanapotoka nchi zao wanakuwa na passport za huko kwao. Na wakati wa kusafiri wanapita airport zaidi ya moja ambako hukaguliwa fingerprints. Sasa swali langu ni kwanini isiwe rahisi kuwakamata hapo airport wakiwa na passport mpya zenye majina mapya kwasababu fingerprints hazibadiliki? Kwani anapoweka kiganja kukaguliwa fingerprints si itajitokeza rekodi yake ya zamani alivyopita?
 
Mbona kuna Watanzania kibao tu wana passport za Sweden,Canada,UK and etc kwa kujifanya wakimbizi wa Nchi za jirani zao, sisi wakijifanya Watanzania tunalia Uzalendo.Hii issue nadhani ni ya duniani kote sema kwetu tatizo ni rushwa ikimewe.
SWALI LA UFAHAMU;
Hawa wageni wanapotoka nchi zao wanakuwa na passport za huko kwao. Na wakati wa kusafiri wanapita airport zaidi ya moja ambako hukaguliwa fingerprints. Sasa swali langu ni kwanini isiwe rahisi kuwakamata hapo airport wakiwa na passport mpya zenye majina mapya kwasababu fingerprints hazibadiliki? Kwani anapoweka kiganja kukaguliwa fingerprints si itajitokeza rekodi yake ya zamani alivyopita?
 
SWALI LA UFAHAMU;
Hawa wageni wanapotoka nchi zao wanakuwa na passport za huko kwao. Na wakati wa kusafiri wanapita airport zaidi ya moja ambako hukaguliwa fingerprints. Sasa swali langu ni kwanini isiwe rahisi kuwakamata hapo airport wakiwa na passport mpya zenye majina mapya kwasababu fingerprints hazibadiliki? Kwani anapoweka kiganja kukaguliwa fingerprints si itajitokeza rekodi yake ya zamani alivyopita?
 

Hivi hawa maadui wengi wanaotuzunguka ni kina nani? Toka Nikiwa mdogo nasikia tu maadui wengi wametuzunguka kila Kona ila cha ajabu hao maadui zetu wapo busy kujenga nchi zao.
 
Kuna jamaa anaitwa Juma yupo hapo Uhamiaji Kurasini ana Vanguard Nyekundu, hii ndiyo kazi yake ameajiri vijana mtaani kabisa wanadeal na hao wageni Wasomali, Wahindi na waarabu, jamaa ana hela sana kwa sasa anajenga ghorofa kubwa sana kibaha.
Tuwafichue tu huyo jumaa sio mzalendo ni adui wa Taifa anadumaza usalama wa Taifa ashughulikiwe kwa namna inayofaa
 
Hivi hawa maadui wengi wanaotuzunguka ni kina nani? Toka Nikiwa mdogo nasikia tu maadui wengi wametuzunguka kila Kona ila cha ajabu hao maadui zetu wapo busy kujenga nchi zao.
Hizo ni propaganda za nchi za kiujamaa kujaza raia wao hofu wakati wenyewe wanaendelea kugawana nchi na familia zao, hi tz masikini sanaa kwandamwa na kila jirani wetu, wakati Ky Rw Ug SA zibabwe wamesha tupiku kitambo.
 
Shida kuna watu wanaamini dunia nzima ni Tz.Ukenda Zambia,RSA Malawi na nchi nyingi tu utakutana na Watanzania kibao wanamiliki National ID na Passport za nchi hizo. Na unakuta mtu mwingine anamiliki ID zote mbili yaani za Tanzania na Nchi aliyopo. Haya mambo hayapo Tz tu.Nina ndugu wako nje wanamiliki Passport na Vitambulisho vya huko.Haya mambo ni dunia nzima sio Tz pekee sema ukiwa Tz unaweza sema haya mambo yapo Tz tu.
 
Ukiwa na pesa utajua hakuna kinachoshindikana. Nenda Kenya,Zambia,Malawi,South au Mozambique utakutana na watanzania kibao wana passport za nchi hizo na Tz.Mkuu haya mambo kama hujawahi toka nje ya Tz unaweza ona ni ya ajabu sana na kusema ni Tz tu kuna magumashi.
 
Viongozi wetu wana tupumbaza ili tuwe na fikra kwamba dunia nzima inawaza Tz tu, wakati hi ni nchi masikini raia wengi wa Tz wako nje wana tabika na kibaya zaidi lugha ya kiingereza inatupiga chenga tunatabika mara mbili, na viongozi wetu hawataki kulitambua, raia wakigeni wanao kuja na kutumia pass ya tz ni wachache kuliko sie watz tunao vamia na kuomba haki zetu kwenye nchi za wenzetu,.......
 
Wengi hawajui haya.Wakiona mtu ambaye sio mtanzania kapewa passport basi wanaamini hili jambo ni la Tz tu.Nakubaliana nawe kuwa watanzania wengi wako nje na wanaishi kiharamu kuliko wageni waliopo Tz.
 
Alafu mm nashangaa hapa bongo mtu anakaa zaidi ya miaka 20 lakini akiomba uraia analetewa magumashi mengi

Na bongo ubaya wetu asylum system haipo kabisa ukidakwa mpakan hata ujitetee vp ww ni muhamiaji haram

Jela miaka 2 then unakuwa deported
 
Wengi hawajui haya.Wakiona mtu ambaye sio mtanzania kapewa passport basi wanaamini hili jambo ni la Tz tu.Nakubaliana nawe kuwa watanzania wengi wako nje na wanaishi kiharamu kuliko wageni waliopo Tz.
 
Ila hujajibu swali langu
 
Mzee magu alikua anafanya kazi uhamiaji???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…