Kwa nini huanzi kujiuliza chanzo cha Mungu ni nini?
Kwa nini unauliza tu chanzo cha binadamu ni nini?
Kwa nini una mu exclude huyo Mungu kwenye kuwa na chanzo, Halafu unafosi binadamu awe na chanzo?
ππππChanzo cha Mungu ni nini?
π π Tajiri no moja duniani mkuuKwani Elon musk yeye ni nani? Kama ana amini ni yeye sio sisi
Haa nilikuwa bize sana kumbe kazi inaendelea?πBinafsi napenda pakuche hawa nyumbu waelimike mkuu.
Kazi ya kuzibua vichwa sio mchezo πHaa nilikuwa bize sana kumbe kazi inaendelea?π
Kwa nini Kiranga na sio weweKiranga atakujibu.
Lazima tukupe Injili ikuingie sawa sawa.
Amen! Praise the name of Jesus Christ. Forever and ever.
Wanajidai hawamfahamu au wanapuuza ushawishi wake Marekaniπ π Tajiri no moja duniani mkuu
Sio kweli wewe ndio kichwa maji. Mtu kama anahitaji huduma auMusk ni mfanya biashara tumia akili, usiwe zwazwa kama Yesu wa Tongaleni.
Yeye analazimika kuchagua upande wa walio wengi mara zote ili mambo yake yapate Support kubwa kutoka kwa vilaza kama wewe ambao ndio wengi sasa.
Kumbe huujui ujinga wa wafia dini wewe, hujawah sikia watu wanadai kususia bidhaa za mtu au kampuni flan kwa sababu ya kukashifu au kuikana dini flan?Sio kweli wewe ndio kichwa maji. Mtu kama anahitaji huduma au
au kitu hataangalia wewe unasali au vipi? Hiyo haina uhusiano na
huduma anayotaka mfano labda gari au simu bora iwe na viwango
anavyohitaji yeye.
Ukikashifu hilo ni jambo jingine.Kumbe huujui ujinga wa wafia dini wewe, hujawah sikia watu wanadai kususia bidhaa za mtu au kampuni flan kwa sababu ya kukashifu au kuikana dini flan?
Na kinyume chake ni Kusupport, bado hujamuelewa wapi bwana Musk?Ukikashifu hilo ni jambo jingine.
Yeye hajakashifu imani ya mtu ila pia hatumii imani kama kigezo chaNa kinyume chake ni Kusupport, bado hujamuelewa wapi bwana Musk?
Ndo maana nakwambia wewe akili huna, mara zote Musk anakaa upande wa washindi au walio wengi.Yeye hajakashifu imani ya mtu ila pia hatumii imani kama kigezo cha
kufanya biashara.