Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
- Thread starter
- #161
Acha kutafuta mabwana hapa na tabia zako za kishoga.Kwahiyo unamfuata Elon, akiliwa kiboga na wewe utakubali kuliwa au..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kutafuta mabwana hapa na tabia zako za kishoga.Kwahiyo unamfuata Elon, akiliwa kiboga na wewe utakubali kuliwa au..?
Lengo kuu la huyu mleta mada kwenye huu uzi ni kuchokoza Atheists wala si kujenga hoja.Nimekuwa nikiendesha malumbano ya hoja na wachamungu nilichobaini wakristo ni weupe haswa kichwani afadhali waislam.Huu ndiyo ulokole na ni afadhali wachamungu waliopita shule kuliko vinginevyo kwani kilichoujaza moyo wa mlokole ni wehu tu.Mfano ulio hai ni mleta mada kweli katuchokoza lakini mliobahatika kumwelewa alilenga nini hasa?
Siuoni nauhisi ila effect zake nazionaUpepo unauona
Kwahyo hujui huo mwili wako ni hekalu la bwanaaa? Mungu ni nishati inayojidhihirisha kwenye maumbo mbali mbali ikiwemo ndani yako.Siuoni nauhisi ila effect zake naziona
Mimi siko kwenye huo u-atheist wao feki hao wanajifanya hawamini kuna mungu wakati wakifa wanazikwa na dini ila humu ndio wanajifanya miambaElimu na Injili lazima iwafikie kwani kuna mtu katishiwa au kalazimishwa.
Mbona mnajihami sana.
Hoja yako inajipinga yenyewe, halafu tuwekane sawa kwanza mi sio atheist ila kuna baadhi ya mambo tu hayajakaa sawa ndio maana nataka kujifunza zaidi kwa nadharia.Kwahyo hujui huo mwili wako ni hekalu la bwanaaa? Mungu ni nishati inayojidhihirisha kwenye maumbo mbali mbali ikiwemo ndani yako.
Umefilisika hoja unaamua kutoa sababu ambazo si za kweli,Lengo kuu la huyu mleta mada kwenye huu uzi ni kuchokoza Atheists wala si kujenga hoja.
Hii ndio faraja yake ya moyo.
Na mimi nimeshtuka kuwa wanaongea kwa mkumbo tuu kufurahishaMimi siko kwenye huo u-atheist wao feki hao wanajifanya hawamini kuna mungu wakati wakifa wanazikwa na dini ila humu ndio wanajifanya miamba
Umeshindwa kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu unabaki kuruka ruka tu.Umefilisika hoja unaamua kutoa sababu ambazo si za kweli.
kuwa mpole rafiki.
Uwepo wako wewe ni uthibitisho kuwa Mungu yupo. When I see youUmeshindwa kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu unabaki kuruka ruka tu.
If we are the image of God and God is an invisible, Then why are we visible?Uwepo wako wewe ni uthibitisho kuwa Mungu yupo. When I see you
Infropreneur, I see an Image of God.
God is the Spirit, he exist every where.If we are the image of God and God is an invisible, Then why are we visible?
Why aren't we invisible, If we are the image of an invisible God?
If God is spirit and if truly he created us in his image, Then why don't we exist everywhere like him?God is the Spirit, he exist every where.
Be an image doesn't mean that we are looking exactly the same to God.If God is spirit and if truly he created us in his image, Then why don't we exist everywhere like him?
Why don't we exist in the ocean, space and everywhere, if truly we are the image of the spirit God?
What does it mean when the scriptures say "God created humans in his own image and likeness" ?Be an image doesn't mean that we are looking exactly the same to God.
Mkuu unazingua na mada yako imeshakushinda ujue🤔Sijakataa ila tufanya comparison, Atheists ndio wanaongoza
Kati ya Atheists 5, watatu wana mental health issues.
Maisha ni yako ila mazishi yako ni kwa faida ya watu vyovyote wakakavyotaka kuzika ni juu yao.Mimi siko kwenye huo u-atheist wao feki hao wanajifanya hawamini kuna mungu wakati wakifa wanazikwa na dini ila humu ndio wanajifanya miamba
Kwa nini huanzi kujiuliza chanzo cha Mungu ni nini?Atheists ni watu wajinga wenye akili ndogo .
Kuna mmoja Mjina nilimuuliza chanzo cha binadamu ni nini akabaki kusema hakuna chanzo.
Chanzo cha Mungu ni nini?Atheists ni watu wajinga wenye akili ndogo .
Kuna mmoja Mjina nilimuuliza chanzo cha binadamu ni nini akabaki kusema hakuna chanzo.