Salamu na Shukrani toka kwa Maskini_Jeuri

Pole sana M_J....tunashukuru kusikia mengineyo yameisha salama
 

Asante na pole zake nyingi! Ndo ukubwa huo mkuu
 
Pole MJ kwa yote yalikukuta pia tunashukuru Mungu yameisha salama.

Kumbe uchakachuaji upo mpaka kwenye srediii dah:doh::doh::doh:
 
Kwanii 'double road' ndio nini etii....?:confused2:
 
Pole MJ kwa yote yalikukuta pia tunashukuru Mungu yameisha salama.

Kumbe uchakachuaji upo mpaka kwenye srediii dah:doh::doh::doh:
MDOGO WANGU... KAMA HUJACHAKACHUA BADO POLE YAKO... JK alichakachuliwa mafuta pale moshi basi analipizia nchi nzima, kaanzia na kura, atarudi na mengine nyie subiri tu, tena nataka nimwalike awe memba wa jukwaa hili, tumkabidhi my dude Smiles
 
Haleluya Bwana apewe sifa. Tulizitanguliza pole nyingi kwa wafiwa hata MJ kwa yaliyowakuta. Kweli maisha hayana budi kuendelea zidi kuwa na matumaini. Lililosamehewa dunia hata mbinguni limesamehewa. Endelea kulisukuma gurudumu lako la maendeleo ni mapito katika maisha hatuna budi kukabiliana nayo.
 
MDOGO WANGU... KAMA HUJACHAKACHUA BADO POLE YAKO... JK alichakachuliwa mafuta pale moshi basi analipizia nchi nzima, kaanzia na kura, atarudi na mengine nyie subiri tu, tena nataka nimwalike awe memba wa jukwaa hili, tumkabidhi my dude Smiles

Wee! mnikabidhi mimi nani...??? sitaki....:mad2:
 
Yaani we acha tuu...
nimekumiss pia, ila huu uchaguzi umenikera hadi basi

yani kuna hii sura ya makame nikichanganya na sauti yake ndo nakereka zaidi,maskio yanasikia tu dovutwa!yamegoma majina ya wengine!
 
yani kuna hii sura ya makame nikichanganya na sauti yake ndo nakereka zaidi,maskio yanasikia tu dovutwa!yamegoma majina ya wengine!

Pole my dear.....ndio Tanzania yetu hiyo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…