Salamu na Shukrani toka kwa Maskini_Jeuri

Salamu na Shukrani toka kwa Maskini_Jeuri

huo sio ubaguzi, ni ukiukwaji wa maadili ya chama. Unaonyesha udhaifu katika uongozi.
Tunawasiwasi nafasi tuliyokupa unaitumia vibaya. Tunaomba ulete audited acounts leo. kamati kuu itakufikiria kama unafaa kuendelea kuwa katika nafasi hiyo.
ha ha ha!
hapo unaongea kama mwenyekiti wa bodi ya ''wadhamini''

mhasibu mara kadhaa anapingana sana na sheria hii hapa:
3- INFIDELATORS/INFIDELEETES wanatakiwa kushea-KIZURI KULA NA NDUGUYO!(hii sheria ni muhimu sana).ukimpata infideletee anaejituma sana gesti muhabarishe na mwenzio akamfaidi.SHARING IS CARING-KUGAWANA NI KUJALI
 
akishakwambia utafanya nini? unataka kupanda kichuguu na big mama pia?

Huh!siwezi anga za big mama ni za mbali sana,akimaliza tutacheki plan b ili kufidia mpasuko wa chama kama ulivyosema
 
hahahahaaa! ruksa! ila ujue ataniomba ushauri mimi kwanza! so, mimi ndo nimeshikilia uwezekano wa yeyote anayetaka kuhamisha meza.

Nitafanya kama alivyotaka kufanya mamvi pale Arusha mjini na Masha pale Nyamagana wanachama bado hawajastukia kama nataka kuchakachua nitaanza kutangaza matokeo ya udiwani huku nikichakachua ya Ubunge na Urais
 
nimecheka mpaka basi,nimegeuza lkn inagoma nadhani wako mlimani tusubiri wakianza kushuka

Mama Big ameleta iriki, mdalasini sasa sijui tunavitumia kwa ajili ya nini i tell you nikitoka huku either mawili NIMENENEPA AU NIMEKONDA
 
Mama Big ameleta iriki, mdalasini sasa sijui tunavitumia kwa ajili ya nini i tell you nikitoka huku either mawili NIMENENEPA AU NIMEKONDA

Hahahaha uzuri wa mama Big kwenye tambalale hapanui mdomo yeye mlimani tu tena anapo maliza
 
Mama Big ameleta iriki, mdalasini sasa sijui tunavitumia kwa ajili ya nini i tell you nikitoka huku either mawili NIMENENEPA AU NIMEKONDA

utatoka umekonda halafu ukipumzika ndo utaanza kunenepa tena,,maana kwa vimbwanga vyake alivyokuja navyo roho ndo atakuachia. Nakushauri uombe break UJE
 
Asante sana Asprin .
Kosa la saba nadhani ilikuwa ni kuendesha gari ukiwa na alcohol :smile:
ila nimefurahi sana juu ya kuwa huru kwa mpendwa wetu
 
utatoka umekonda halafu ukipumzika ndo utaanza kunenepa tena,,maana kwa vimbwanga vyake alivyokuja navyo roho ndo atakuachia. Nakushauri uombe break UJE

Dalili zinaonyesha tutakuwa na (Hardcore S.e.x)sababu sielewi hizi pingu na huu mjeledi ni wa nini
 
Dalili zinaonyesha tutakuwa na (Hardcore S.e.x)sababu sielewi hizi pingu na huu mjeledi ni wa nini

mh! kama vipi tutume:car:for rescue tusije kukukosa maana bado tunakuhitaji The finest wetu!we nae umejitakia wakati mwingine soma alama,,,,,haya toa location fasta
 
mh! Kama vipi tutume:car:for rescue tusije kukukosa maana bado tunakuhitaji the finest wetu!we nae umejitakia wakati mwingine soma alama,,,,,haya toa location fasta

eneo: Keko magurumbasi
mtaa:tushikamane
guest:kiamsha mbali
room:777
 
eneo: Keko magurumbasi
mtaa:tushikamane
guest:kiamsha mbali
room:777

Mh!next tym uende kiamsha karibu kwa rescue ya haraka incase of anything,poa nikifika hapo nita:A S 101: laini vipi usalama wangu kwa mama kubwa?
 
Mh!next tym uende kiamsha karibu kwa rescue ya haraka incase of anything,poa nikifika hapo nita:A S 101: laini vipi usalama wangu kwa mama kubwa?

Aisee tuma watu kwanza usije mwenyewe you will suffer the consequences, dah ngoja niendelee leo kazi ipo
 
Mama Big ameleta iriki, mdalasini sasa sijui tunavitumia kwa ajili ya nini i tell you nikitoka huku either mawili NIMENENEPA AU NIMEKONDA
Kimbia, jifanye unataka ku-:smokin::smokin: mara moja, then chikichia, usivae soksi atakushtukia.
 
Aisee tuma watu kwanza usije mwenyewe you will suffer the consequences, dah ngoja niendelee leo kazi ipo

Au niku:A S 101: nijitambulishe kama WP 337 kuwa unahitajika haraka kituoni labda ata :doh:
 
Hivi bado mnampa pole Maskini Jeuri au kama kawa maofu topiki?:bowl::bowl::bowl:
 
Hivi bado mnampa pole Maskini Jeuri au kama kawa maofu topiki?:bowl::bowl::bowl:

Dah......kumbe ni ile sredi ya pole kwa MJ?:doh::doh:...pole sana MJ....
 
Back
Top Bottom