Wewe adhabu yako iko palepale!:A S angry::A S angry::A S angry:
Umejitenga kama somaliland.........na uzuri wa popu yeye huwa anasikiliza pande zote na kutoa hukmu ya khaki.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe adhabu yako iko palepale!:A S angry::A S angry::A S angry:
Umejitenga kama somaliland.........na uzuri wa popu yeye huwa anasikiliza pande zote na kutoa hukmu ya khaki.....
Hivi bado mnampa pole Maskini Jeuri au kama kawa maofu topiki?:bowl::bowl::bowl:
Wewe ndugu yangu angalia. Pope Kaizer anakuja....ntakushtaki.
Rule namba tatu iangaliwe upya, kuna watu wanaitumia vibaya........Hiyo ndo mada kuu ya kikao na mwenyekiti...
mpasuko wa chama unatokana na ubinafsi wa viongozi wachache.Wewe adhabu yako, hutapata Al-Batar kwa mwezi mzima. Kosa lako ni kuwakumbatia mafisadi wa rule namba tatu...Roya na Kimey.
mpasuko wa chama unatokana na ubinafsi wa viongozi wachache.
wanataka kula vyote vya wanachama, lakini hawataki vyao viliwe!
Kikao cha kesho utakuwepo?:smile-big::smile-big::smile-big:
Aisee kiuno kinaendeleaje pope alikuwa anaulizia?
mpasuko wa chama unatokana na ubinafsi wa viongozi wachache.
wanataka kula vyote vya wanachama, lakini hawataki vyao viliwe!
Kesho utamsikia Asprin anatoa kauli ifuatayo sana "NIMEFEDHEHEKA SANA, NIMEZALILISHWA SANA, NIMEMTUMIA BARUA......POPE.....ITAENDELEA
we chako vipi?kama vp unahtj massage asap
Hiyo nafasi ya kuelezea hayo nani atampa...?
The pope is furious...
Kesho utamsikia Asprin anatoa kauli ifuatayo sana "NIMEFEDHEHEKA SANA, NIMEZALILISHWA SANA, NIMEMTUMIA BARUA......POPE.....ITAENDELEA
Mama Bin Action
Ningekuwa mimi ndio Pope ningempa Asprin BAN ya mwaka mzima
Sasa mbona mnageukana wenyewe tena...?:confused2:
astakafulai haiarablamina!! nani anamgeukia mwenzie?Sasa mbona mnageukana wenyewe tena...?:confused2: