Salamu na Shukrani toka kwa Maskini_Jeuri

Salamu na Shukrani toka kwa Maskini_Jeuri

Wewe adhabu yako iko palepale!:A S angry::A S angry::A S angry:

Umejitenga kama somaliland.........na uzuri wa popu yeye huwa anasikiliza pande zote na kutoa hukmu ya khaki.....
 
Aspin has just been received a :ban:from vizibo.

Wewe ndugu yangu angalia. Pope Kaizer anakuja....ntakushtaki.

Rule namba tatu iangaliwe upya, kuna watu wanaitumia vibaya........Hiyo ndo mada kuu ya kikao na mwenyekiti...
 
Umejitenga kama somaliland.........na uzuri wa popu yeye huwa anasikiliza pande zote na kutoa hukmu ya khaki.....

Wewe si ndugu yangu...........nlikwambia tangu jana....huruhusiwi kushea na mimi vitu vizuri.:hippie::hippie::hippie:
 
Wewe ndugu yangu angalia. Pope Kaizer anakuja....ntakushtaki.

Rule namba tatu iangaliwe upya, kuna watu wanaitumia vibaya........Hiyo ndo mada kuu ya kikao na mwenyekiti...

Aisee kiuno kinaendeleaje pope alikuwa anaulizia?
 
Aisee kiuno kinaendeleaje pope alikuwa anaulizia?

Wewe adhabu yako, hutapata Al-Batar kwa mwezi mzima. Kosa lako ni kuwakumbatia mafisadi wa rule namba tatu...Roya na Kimey.
 
Wewe adhabu yako, hutapata Al-Batar kwa mwezi mzima. Kosa lako ni kuwakumbatia mafisadi wa rule namba tatu...Roya na Kimey.
mpasuko wa chama unatokana na ubinafsi wa viongozi wachache.
wanataka kula vyote vya wanachama, lakini hawataki vyao viliwe!
 
mpasuko wa chama unatokana na ubinafsi wa viongozi wachache.
wanataka kula vyote vya wanachama, lakini hawataki vyao viliwe!

Wewe ni ndugu yangu. Vya kwangu vizuri ntakugaia. Ila Roya na Kimey hapana! Hapana kabisa kabisa!

Wachoyo watupu..
 
Kikao cha kesho utakuwepo?:smile-big::smile-big::smile-big:

Agenda ni zipi?niko na Chair hapa lkn hana taarifa za kikao au mmemchinjia baharini

Jamani mchekini Finest kama katoka salama
 
mpasuko wa chama unatokana na ubinafsi wa viongozi wachache.
wanataka kula vyote vya wanachama, lakini hawataki vyao viliwe!

Kesho utamsikia Asprin anatoa kauli ifuatayo sana "NIMEFEDHEHEKA SANA, NIMEZALILISHWA SANA, NIMEMTUMIA BARUA......POPE.....ITAENDELEA
 
Kesho utamsikia Asprin anatoa kauli ifuatayo sana "NIMEFEDHEHEKA SANA, NIMEZALILISHWA SANA, NIMEMTUMIA BARUA......POPE.....ITAENDELEA

Hiyo nafasi ya kuelezea hayo nani atampa...?
The pope is furious...
 
Kesho utamsikia Asprin anatoa kauli ifuatayo sana "NIMEFEDHEHEKA SANA, NIMEZALILISHWA SANA, NIMEMTUMIA BARUA......POPE.....ITAENDELEA

Nakuona utakavyokuwa ukisema "tulifurahi pamoja, tukahuzunika pamoja" sasa cjui kwa nini umetoka na hiyo
 
Back
Top Bottom