Salamu ya Rais Samia Suluhu 'Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano' ni salamu bomba sana

Angesema habari zenu ndugu zangu ingetosha?
 
Unakuta mtu anakulazimishia salamu ya dini yake au dhehebu lake wakati wewe huna hata habari na hiyo imani yake!
Bora hata wakiristo kidogo wako rational kidogo.

Hizi dini zimekuja kupumbaza watu, watu wajinga wamekua wapumbavu na wapumbavu wamekua mataahira kabisa.
 
Hatutaki Salamu kutoka kwa Watanzania wenzetu kwa lugha za nje, kitumike Kiswahili kutoa salamu. Vinginevyo kitumike Kingereza ambacho ni lugha yetu rasmi pia.
Kwani unajua maana ya salamu aliyoitoa katanga ni nini????

Kwa akili zenu mfu mnadhani salamu ya Katanga ni ya kidini??? Kweli hili taifa bado sana na ndo mana Mwendazake aliweza kuwa brainwash..
 
SIAFIKI HIYO SALAMU. Lazima appreciate Imani mbalimbali za watZ na hiyo inamleta karibu zaidi na Watanzania. kama makafiri na wenye imani za asili wamemwambia anapendelea basi ni dhahiri hajitambui.

Salamu zilkua mbili wakat kuna wengne hawana dini kuna wahindi hapa wana salamu zao wakat hawatumii salamu hizo je wao Au wao hawana haki ya kusalmiwa
 
4.Habari yenu ndugu zangu
5.Nawatakia amani
6.Habari za wakati huu
7.Heri kwenu
8.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani mama kawashika pabaya mmebaki mnaongea utopolo tuuu, na mimi nasema ashikilie hapo hapo hadi mjue hii nchi ni yetu soteeee
 
Salamu za dini zitumike sehemu husika.
Hiyo ni sakaam ya kiislam acheni ubishi japo ina maana nzuri.huwezi kuitumia kanisani.ni sawa na kusena bwana asifiwe msikitini utakuwa wa ajabu.kwenye nchi ya dini kama hizi tuachane na hizo salaam za kidini au tutumie zote
 
Mama yetu ameanza vibaya. Namfuatilia sana. Kabeba sana Uislam na Uzanzibar. Sijui kama tutafika.
Na yule mwingine alibeba nini?

Najiuliza tu...mama angekuwa anatoa hotuba misikitini ingekuwaje hivi? (It's unlikely anyways).

Hebu tuache udini, tujenge Tanzania moja!
 
Kwa nini usalimie Waswahili wenzako kwa Kiarabu ? Ni bora utumie Kingereza kama hutaki kutumia Kiswahili
Kweli wajinga wengi sana na kamwe hawawezi kuisha yaani bado anajua As-salamu alaykum ni kiislam hahaaa.

As-salamu alaykum is a greeting in Arabic that means "Peace be upon you"
 
Zaidi ya nusu ya hii nchi hawajui kiarabu, hata hao wanaokifahamu ni huko kwenye mambo ya dini zaidi kwa nini usalimie Kiarabu na si Kiswahili au Kingereza ambazo ni lugha rasmi?
Nakwambia kwa Kweli. Wajinga nchi hii wako wengi sana . Hawajui hata hao waarabu wapo wakristo, waislamu na hata wasio dini na wote wakisalimiana wanatumia salamu iyoiyo.

[emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani mama kawashika pabaya mmebaki mnaongea utopolo tuuu, na mimi nasema ashikilie hapo hapo hadi mjue hii nchi ni yetu soteeee
Sasa kashika nani. Wabongo! Haki ya kutoa maoni ni yakila mtu. Hakuna alie sema mama ni mmbaya. Ndo kwanza kashika kiti. Tuko nae pamoja ili ailetee maendeleo Tanzania.

Na tuna imani nae. Kupewa ushauri ni jambo la kawaida.
 
Zaidi ya nusu ya hii nchi hawajui kiarabu, hata hao wanaokifahamu ni huko kwenye mambo ya dini zaidi kwa nini usalimie Kiarabu na si Kiswahili au Kingereza ambazo ni lugha rasmi?
Kwani kwenye uswahili na waswahili iyo salamu haitumiki?
 
Hatutaki Salamu kutoka kwa Watanzania wenzetu kwa lugha za nje, kitumike Kiswahili kutoa salamu. Vinginevyo kitumike Kingereza ambacho ni lugha yetu rasmi pia.
Kwa akili yako fupi unadhani kiswahili kimetokana na lugha zipi??? Una elimu gani kwani?
 
Salama leko sio salumu universal. Huwezi kusalimia hivyo China, Russia, Latin America ukaacha kuonekana kituko na hiyo ni zaidi ya nusu ya dunia.
Mbona hilo hukohoji kipindi Cha mwendazake uje uhoji leo?
 
Inabidi tujue Kwanz ni Mungu gani a naongelewa.

Maana Mungu wa wakristo sio wa waislam.

Na wa Islam sio wa wakristo.

WA wahindu ambao nao ni watz pia sio wa hao wawili juu.

Miungu ya makabila mengine tz yasioamini hao Miungu ya kuja pia sio ya hao wa juu.

So kwanini tuchanganye hii Miungu wakati haifanani hata chembe.

Ndo maana mwingine kazi kwa hatujaonyeshwa sababu nae alikuwa na Miungu yake ambayo inakataza Yeye kuwa live alishushwa chini. [emoji848]
 
[emoji3][emoji3]kichwa kibovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…