Salamu za Heri: Shoo aonya dhidi ya Uonevu

Salamu za Heri: Shoo aonya dhidi ya Uonevu

Mwambie ashughulikie matatizo ya KKKT kwanza kuna wizi na uonevu mkubwa sana kwenye kanisa lake. Juzi tu huko Mbeya kulikuwa na shida na yeye akatuhumiwa kwenye mgogoro huo. Mwambie atoe kiboriti kwanza kwenye jicho lake halafu ndiyo ataweza kuona vizuri matatizo ya wengine.
Shetani utamjua tu kwa kupiga matendo ya haki
 
Bagonza umemsahau

Mambo ni mengi muda mchache:

IMG_20211225_212608_840.jpg


Baba askofu Bagonza na waungwana wenzake wengine zaidi naliwajumuisha kwa heshima na taadhima kwenye hilo neno "wenzao."

Itifaki nzima ikizingatiwa.
 
Mwambie ashughulikie matatizo ya KKKT kwanza kuna wizi na uonevu mkubwa sana kwenye kanisa lake. Juzi tu huko Mbeya kulikuwa na shida na yeye akatuhumiwa kwenye mgogoro huo. Mwambie atoe kiboriti kwanza kwenye jicho lake halafu ndiyo ataweza kuona vizuri matatizo ya wengine.
IMEKUUMA . KUMBE NI TUHUMA TU TENA ZA NDANI YA KANISA LAO. WAFUTE KESI WAWE SALAMA AMA WASHUPAZE SHINGO ZIVUNJIKE NA WASIPATE DAWA
 
IMEKUUMA . KUMBE NI TUHUMA TU TENA ZA NDANI YA KANISA LAO. WAFUTE KESI WAWE SALAMA AMA WASHUPAZE SHINGO ZIVUNJIKE NA WASIPATE DAWA
Huyo huwa anatetea wachaga wenzake tu. Mkabila sana huyo Mangi
 
Mwambie ashughulikie matatizo ya KKKT kwanza kuna wizi na uonevu mkubwa sana kwenye kanisa lake. Juzi tu huko Mbeya kulikuwa na shida na yeye akatuhumiwa kwenye mgogoro huo. Mwambie atoe kiboriti kwanza kwenye jicho lake halafu ndiyo ataweza kuona vizuri matatizo ya wengine.
Umesikia aliyetoa ujumbe Leo ndio ameusababisha huo mgogolo huko Mbeya?
 
Mwambie ashughulikie matatizo ya KKKT kwanza kuna wizi na uonevu mkubwa sana kwenye kanisa lake. Juzi tu huko Mbeya kulikuwa na shida na yeye akatuhumiwa kwenye mgogoro huo. Mwambie atoe kiboriti kwanza kwenye jicho lake halafu ndiyo ataweza kuona vizuri matatizo ya wengine.
Imekuchoooma kama pasi eeeeh?? Meza limau [emoji13][emoji13]
 
Back
Top Bottom