Salamu za Heri zinapoamsha watu kutema Nyongo

Yawezekana huyu mjomba naye ni prominent kwani yasemekana kumbe chopa ni lus*nde.

Kwanini mwamba asiwe kiroboto?
Ha ha ha naanza kuamini maana anasahau sahau tabia yake ya undumilakuwili....alichoandika asubuhi na jioni huwa tofauti...
 
Na wewe acha kubwabwaja.

Nauli 14,000/= unafika kijijini kwenu migombani!
We jamaa ni muhun kama wahuni wengine
Una mambo ya kijinga sana jitathimin

Una ukabila sana unachuki za kipumbavu sana tumekusoma muda tuu unaendekeza ushenzi wako hapa jf tuu

Halafu hiyo roho yako mbaya itakutesa Sana maana haitawabadilisha hao unaowachukia badala yake wanakuona
Lipumbavu jitu lisilojielewa acha libaki likitutukana mwisho litatulia tuu

Chuki humuumiza yule anayemchukia mwenzake maana wewe ndiyo unateseka
 
Hahahaaaa......... Manka umefura!

Kunywa kisado cha mbege upunguze hasira.
 
Hivi kwanini Wadanganyika tuna tabia ya kufosi watu wafanane?
 
Ni kwa sababu ya uonevu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…