kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Wahuni hawakosekani kila eneo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni hawakosekani kila eneo!
Nje ya mada kijinga sana .Tuwekee salamu za Tundu Lisu!
Lema kawatumia wachagga wa Moshi na Arusha huku Dar ametusahau.
Pia nawaza kwa sauti.
Huwa watu wanafiki na vigeugeu hawana urafiki wala kuaminika, pale penye maslahi Yao yawe halali au haramu.Si bure watu hawa hawa ni watu hawa hawa
Kuna muda upepo ukivuma unapoteza mawimbi bwasheeTuwekee salamu za Tundu Lisu!
Lema kawatumia wachagga wa Moshi na Arusha huku Dar ametusahau.
We jamaa ni muhun kama wahuni wengineNa wewe acha kubwabwaja.
Nauli 14,000/= unafika kijijini kwenu migombani!
Hahahaaaa......... Manka umefura!We jamaa ni muhun kama wahuni wengine
Una mambo ya kijinga sana jitathimin
Una ukabila sana unachuki za kipumbavu sana tumekusoma muda tuu unaendekeza ushenzi wako hapa jf tuu
Halafu hiyo roho yako mbaya itakutesa Sana maana haitawabadilisha hao unaowachukia badala yake wanakuona
Lipumbavu jitu lisilojielewa acha libaki likitutukana mwisho litatulia tuu
Chuki humuumiza yule anayemchukia mwenzake maana wewe ndiyo unateseka
Anacheka kama anataka kuuzwaHata huyu kasema hivyo:
View attachment 2057181
Kwa hakika si kule peke yake.
Salamu na zako zitakuwa zimewafikia.
Anacheka kama anataka kuuzwa
Utafikiri yupo mnadan anasubiri mteja
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Mungu awabariki wote waliokataa salamu za kinafiki
Kwa akili yako unajua wote huku ni manka kama weweHahahaaaa......... Manka umefura!
Kunywa kisado cha mbege upunguze hasira.
Hivi kwanini Wadanganyika tuna tabia ya kufosi watu wafanane?
Ni kwa sababu ya uonevuKuwepo kwa wimbi la hamasa za chuki kujibu salamu za Heri si mambo ya kufumbia macho wala kupiga rungu.
Kama taifa, tumefikaje huku?
Hoja hujibiwa kwa hoja.
Kwa hamasa kali zilizopo kufuatia salamu mbili hizi:
View attachment 2057032
View attachment 2057030
Kwa hakika kuna mahali tume furuku kweri kweri.
"Hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kujidanganya kuwa hayapo" - RIP JKN.
Hisia hizi ni upuuzi mtupu? Kwa idadi kubwa hii ya watema nyongo?
Penye moshi pana moto.
Kiroboto ndio kaleta treni ya Moshi - Arusha!Kwa akili yako unajua wote huku ni manka kama wewe
Kiroboto unacheka kama unataka kuuzwaView attachment 2057335
Chawa mtanyooka tuu yule mungu wenu hayupo tenaKiroboto ndio kaleta treni ya Moshi - Arusha!
Hapa Machame wanamshangilia Magufuli kila kona.Chawa mtanyooka tuu yule mungu wenu hayupo tena
Wapumbavu nyie