Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wafanyakazi wengi sana hasa wenye vitengo ni wezi sanaUmefika kwenye mahekalu yake mbweni
Ukiona mahekalu yake utabadili msimamo wako wa kumsifia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafanyakazi wengi sana hasa wenye vitengo ni wezi sanaUmefika kwenye mahekalu yake mbweni
Ukiona mahekalu yake utabadili msimamo wako wa kumsifia
Wezi watupu haoHizi salamu zina heri kweli hizi ?
Umetoroka lindo wewe sio kawaida mapema hii!Leo aliyekupa buku katukosea sana wana JF
aisee roho mbaya itakuuwa hapo ni ndugu yako kafanikiwa kutoka kimaisha je angekuwa mtu baki. Unauhakika gani kama kakopa au kakutana na fursa kama mashamba ,au migodi yaani mtu akiendelea tu ni rushwa. sasa ndugu yako unamsema hivi je wangekuwa watu baki.Mwezio inaonekana anaroho nzuri ndiyo maana anakazi na maendeleo wewe mwenye roho mbaya nyeusi utabaki hapo hapo. Da duniani kuna viumbe wa ajabu sana utakufa na umaskini wako wa roho mbaya hadi kwa ndugu zako.Wezi sana, kaka yangu mtoto wa baba mkubwa upande wa bibi mdogo alijenga nyumba nne dar es salaam baada ya kufanya kazi miaka mitatu ya mwanzo hapo TRA.
Tena mkampa demotion kali ya kumpeleka wilayani huko kwenye mikoa maskini. Akatembeza rushwa na akarudishwa tena dar. Sasa hivi ni bilionea.
Huyu mzee wanamuogopa sana ni mkali nasikia anafatilia huyo akikufuma umekwisha . Nasikia wanadai ukiitwa ofisini kwake unasema mama yangu maana kama unamakandokando umekwisha.safi sanaKidatta, mtu muungwana sana anayemtegemea Mungu, na Mungu alimlinda wakati anataka kumezwa na firauni. Huyu ni living testimony ya jinsi Mungu analinda wqtu wqke
Wiki hii mmefungia sana watu akaunti zao.
Nakubaliana, huko Canada aliona mengi ya firauni ambayo mpaka sasa ni siri.Kidatta, mtu muungwana sana anayemtegemea Mungu, na Mungu alimlinda wakati anataka kumezwa na firauni. Huyu ni living testimony ya jinsi Mungu analinda wqtu wqke