Salamu za mwaka mpya toka TRA

Salamu za mwaka mpya toka TRA

Wezi sana, kaka yangu mtoto wa baba mkubwa upande wa bibi mdogo alijenga nyumba nne dar es salaam baada ya kufanya kazi miaka mitatu ya mwanzo hapo TRA.

Tena mkampa demotion kali ya kumpeleka wilayani huko kwenye mikoa maskini. Akatembeza rushwa na akarudishwa tena dar. Sasa hivi ni bilionea.
aisee roho mbaya itakuuwa hapo ni ndugu yako kafanikiwa kutoka kimaisha je angekuwa mtu baki. Unauhakika gani kama kakopa au kakutana na fursa kama mashamba ,au migodi yaani mtu akiendelea tu ni rushwa. sasa ndugu yako unamsema hivi je wangekuwa watu baki.Mwezio inaonekana anaroho nzuri ndiyo maana anakazi na maendeleo wewe mwenye roho mbaya nyeusi utabaki hapo hapo. Da duniani kuna viumbe wa ajabu sana utakufa na umaskini wako wa roho mbaya hadi kwa ndugu zako.
 
Kidatta, mtu muungwana sana anayemtegemea Mungu, na Mungu alimlinda wakati anataka kumezwa na firauni. Huyu ni living testimony ya jinsi Mungu analinda wqtu wqke
Huyu mzee wanamuogopa sana ni mkali nasikia anafatilia huyo akikufuma umekwisha . Nasikia wanadai ukiitwa ofisini kwake unasema mama yangu maana kama unamakandokando umekwisha.safi sana
 
Kidatta, mtu muungwana sana anayemtegemea Mungu, na Mungu alimlinda wakati anataka kumezwa na firauni. Huyu ni living testimony ya jinsi Mungu analinda wqtu wqke
Nakubaliana, huko Canada aliona mengi ya firauni ambayo mpaka sasa ni siri.
 
Back
Top Bottom