Salamu za Rais Samia zafikishwa kwenye benchi la Ufundi ya Timu ya Yanga

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Naibu Waziri wa Utamaduni sana na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma usiku wa Mei 16, 2023 nchini Afrika Kusini, amepata nafasi ya kufikisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa wachezaji na benchi la ufundi la timu ya Yanga kuelekea kwenye mchezo wao wa mkondo wa pili wa nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika leo nchini Afrika kusini dhidi ya Marumo Gallants.

Akiongea na wachezaji pamoja na Benchi la Ufundi Mhe. Mwinjuma amewahakikishia kwamba Serikali ipo pamoja nao na amewataka kupambana ili kuhakikisha wanaingia fainali ya mashindano hayo.

 
WANANCHIIIIIIIIIIOOOOOOOOO. LEO NDIO ILE SIKU AMBAYO WANAYANGA WOTE TUNA BANG NAYO .
YAANI MAKOLO LEO NDIO RASMI WANAGEUZA VYOO MAHALA PAO PA KULILIA.
TUNAENDA KUTINGA FAINALI RASMI KWENYE ARDHI YA UGENINI.
MARK MY WORDS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…