Salamu zangu kwenu

hahahhah haunishindi mm mwenyewe natamanigi kuwajua [emoji23] nikionaga reply ya mahondaw nacheka sina mbavu mwisho anamalizia nawacheka kwa dharau

Bwaha Bwaha Bwaha Bwaha Bwaha
Usinikumbushe shogangu weee
Team snitches Wana kibarua lol

Koh koh koh ptyuuu

Wacha wapite kimya kimya make
Si kwa kuchekwa kwa dharau huku
 
Hivi hao team snitch ni kina nani? Natamani kuwajua[emoji12]
Umbea suna bwana we!!

Wapo mate wapo humuhumu
Wengine Jukwaani wanaeza pita wanapita kimya kimya Babaaaa pm sasa full kusnitchs full kupanga mission za kumuharibia mahondaw
Na wengine jukwaani meno thelathini na nje yote mbili pm Babaaaa full usnitch
Wengine watu wa karibu nasi marafiki wanajifanya kondoo kumbe mbwa mwitu babaaa
Wengine hapahapa jukwaani hawafichi makucha yao full usnitch babaa
Wengine wanakudiss kumbe moyoni Wana kulike babaaa

Niseme tu

Mission impossible
 
Teh teh teeeeh!! Jf bwana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…