Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Huku kuna mkwanja kama wote hakuna cha bureeee mhuri au barua lazima zikutoke.
Mkikaa kwenye kesi meza mnalipa si chin ya laki.
Mgamb akikukamata kwa kosa 50000 lazima ikutoke aaah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkikaa kwenye kesi meza mnalipa si chin ya laki.
Mgamb akikukamata kwa kosa 50000 lazima ikutoke aaah.
Dah! Wallah usije Mjini....mjini muhuri bureeee labda raia akutoe 2k ya soda, hela zipo kwa wale madereva wanaogonga huko wanakuwa wanataka barua za utambulisho wa wadhamini waende mahakamani fasta fasta [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app