Ze Heby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 5,636
- 6,178
AiseeNaona umepata laki mbili yako. Nawaonea huruma sana watendaji wa kata, hiyo hela naingiza kwa siku Mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeNaona umepata laki mbili yako. Nawaonea huruma sana watendaji wa kata, hiyo hela naingiza kwa siku Mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha nimecheka sana ...yani kila mtu humu ni mtumishi wa ummaKuna watumishi humu mm nabai kushangaa tu hata kuandika ni shida lakini anadai ameajiriwa!hatariuos!
Pesa kula na mwenzio ni ngumu kipindi hiki mama la mama Shadeeya. Ila kama ni ww nitakupa tuHakika Mkuu ila hapa ndio inayozungumziwa hiyo pesa.
Basi kama kukopesha ngumu,nisaidie hata vocha ya buku mama angu...ntaiingiza siku ya boxing day,kama zawadi yako kwangu.
Tengeneza yakoooooo.... UsitutisheeeeeeNdiyo Tanzania tuliyo nayo!
Sijaona mpaka sasa,, au tayari
Na wewe kwa CV uliyonayo unaishi kwa kutegemea mshahara?
Ni haki yake sababu anawajibika,hivi mnaoendesha bodaboda huwa mnajionaje labda? Kila mtu anachofanya ndicho anakitegemea,sasa unaachaje kutegemea product ya ufanyacho??
Wonderful.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa msipanic kisa mshahara umeingia? Kwan mkitulia kuna shida gani?Nawashangaa sana wanaoshangaa watu wanaopata mishahara .... Ndugu kama wewe mjasiriamali heri tupu, kama mkulima well n good, kama mfugaji hewala .... Hiyo ndio tunaita SPCIALIZATION/DIVISION OF LABOR hatuwezi wote kufanya shughuli moja.
Kila mmoja na afurahie mavuno yake ..... Kaa kwa kutuliaSasa msipanic kisa mshahara umeingia? Kwan mkitulia kuna shida gani?
Usiharibu ustaarabu wa mwingine kisa NMB imecheuaKila mmoja na afurahie mavuno yake ..... Kaa kwa kutulia
Kwani nimekutingisha !!?? Kila mmoja acheze kwenye line yake ......Usiharibu ustaarabu wa mwingine kisa NMB imecheua
Mpuuzi huyoo