wankuru nyankuru
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 495
- 775
Tatitizo nini huko benk?, asilimia kubwa ya watumishi washapata haki yao ya kazi. Baada ya kuwahudumia wananchi vizuri.
Nashangaa wengine bado sasa tuko hapa tunafikiria tatizo ni nini? Huko benk? Au sisi hatuna sifa ya kupata mshahara?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa wengine bado sasa tuko hapa tunafikiria tatizo ni nini? Huko benk? Au sisi hatuna sifa ya kupata mshahara?.
Sent using Jamii Forums mobile app