Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
Hivi walifanikiwa kipindi kile financially???? Nasikia muziki ulikuwa unalipa kipindi kileDah story za humu tamu yaani natamani ningekuwapo pande zile. Ingawa niliwahi kumuona Easy B "Bernard Luanda" wa Kwanza Unit nyumbani kwao Sinza Kijitonyama nimetoka shule Mapambano na mwanafunzi mwenzangu ndio ananionesha Yule ndio Easy B. Dah wacha nimshangae maana nilikuwa nsmsikia kwa radio tu 1992 hiyo.
Hivi walifanikiwa kipindi kile financially???? Nasikia muziki ulikuwa unalipa kipindi kile
Muziki ule ulikuwa unapingwa na "wazee" kuwa wakihuni.Hivi walifanikiwa kipindi kile financially???? Nasikia muziki ulikuwa unalipa kipindi kile
Yupo namuona Mara kibao tu ila sidhani kama anachana tenaMC Kibacha yupo wapi?
Du Kumbe Ugonjwa wa "KIFUA" Ulianza Kuwaua Wasanii Kitambo kumbe.D.Rob due to security reasons siwezi kufunguka sana si unajua na yeye alikuwa mtoto wa Vitoto, maana mchizi yule alikuwa anachanganya watoto wa kizungu wanafunzi wa ist, wabongo wakishua mpaka vicheche vya kinondoni ss unategemea nini? Inaweza ikawa CD zimepungua plus ngada ndio nitolee
*** Usichanganywe na story kaka me ni she sema nimekuwa na kaka zangu ss hawa ndio walikuwa wajanja wa enzi hizo
sos b ngoma ya nwisho nafikiri ni ikibidivyo..diplomats na usipendelependele bwimbwi tz si bwimbwi..gwm hawajawahi toa ngoma Kali kama yamenikutaSoS B..kukuru kakara zako,Rough Nigers kutokea Tanga enzi hizo,GWM cheza mbali na kasheshe,Diplomat,oya msela oya ya Othman Njaidi,ma djs walikuaga akina mike mhagama..aiseee long time sana jamen
Sijaona mkimzungumzia soggy doggy hunter, live with purpose (LWP), Father nelly mzee wa ushanta. Wakati huo salama jabir kwenye video ya SOS b ndio kwanza maziwa yanamtoka.
Weka hiyo video.Sijaona mkimzungumzia soggy doggy hunter, live with purpose (LWP), Father nelly mzee wa ushanta. Wakati huo salama jabir kwenye video ya SOS b ndio kwanza maziwa yanamtoka.
Kwenye hiyo ngoma kuna j hustla nigga j na prof jMKUU NIGGER 1 NI J HUYO HUYO...ukiskiliza ngoma mpya ya professor j kuna j watatu mule...namkubali nigger j zaidi alie kuwa anatafta kick ya kutoka
Yule wa nyimbo ya chelea pina?Salehe jabri bado yupo u.k
Prof Jay ni Nigger JHapa unakoroga mambo tu ni mchanganyiko mkali kama wa konyagi na bangi.
Ina maana wewe gazeti la sani hulioni kwenye vibanda vya wauza magazeti au online?
Hivi Nigger 1 na Profesa Jay ni watu wawili tofauti? Sina kumbukumbu maana zamani kila Rapper ni Nigger.