Misunderstood
JF-Expert Member
- Aug 4, 2020
- 384
- 884
Nimecheka title inachekesha
Tanzia kampuni ya Songoro Marine afariki Dunia.
Yaani sjui ndo uchungu[emoji38]
Anyways RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka title inachekesha
Tanzia kampuni ya Songoro Marine afariki Dunia.
Isije kuwa alidhulumiwa na yule dhulumati maarufu
Mkuu wa wilaya kawa msemaji wa kifo cha Songoro? du haya ngoja niwasalimie kwa jina la jamhuri...Mmiliki wa kampuni ya songoro Marine amefariki Dunia akiwa mkoani Mbeya
Mwananchi limeripoti. View attachment 1810685
Yote kuwahi kuleta taarifa.Nimecheka title inachekesha
Tanzia kampuni ya Songoro Marine afariki Dunia.
Jamaa anawahi kutengeneza breaking news utasema kuna kombe labda atapewa ukiwahi kutoa habari wewe wa kwanzaKampuni amefariki wa songoro amefariki?
Pumzika Mzee Swalehe umeacha "legacy "
Shigongo nae analia kudhulumiwa makubwa haya. Siku hizi bungebi nae anatema checheeee.Shigongo alilia kudhulumiwa na nani sijui
Na wewe rekebisha, siyo "mmiriki" bali ni "mmiliki".Rekebisha hapo sio kampuni amefariki bwana, mmriki wa kampuni ndo kafa
Wawili walitumbuliwa!Ile kesi ya Mv Mbeya imeishia wapi?
Meli mbili Ziwa Nyasa zakumbwa na dhoruba kali
3 May 2021 Matema Beach, Tanzania MELI ZA TANZANIA ZAKUMBWA NA DHORUBA KALI KTK ZIWA NYASA Kutoka Ziwa Nyasa meli mbili zinazomilikiwa na Mamlaka ya Bandari ya Tanzania zimekumbana na dhoruba kali inayoambatana na mvua kubwa. Meli ya abiria MV Mbeya II imepigwa na mawimbi makali jioni hii...www.jamiiforums.com