Salim Abdallah 'Try Again' ajiuzulu uenyekiti bodi ya wakurugenzi Simba

Salim Abdallah 'Try Again' ajiuzulu uenyekiti bodi ya wakurugenzi Simba

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1000060378.jpg

1000027949.jpg

Akizungumza na Azam TV, Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC Salim Abdallah (Try Again) ametangaza kujiuzuru wadhifa wake.

Amewashukuru mashabiki na wajumbe wa bodi aliofanya nao kazi kwa ukaribu. Amewaomba wanachama wa Simba kuwa wamoja na kuondoa migogoro.

Aidha, amesema baada ya mashauriano mengi, yeye pamoja na wajumbe wenzake wameona Mo Dewji anafaa kuwa Mwenyekiti wa Bodi, na anatumaini atakubali ombi hilo.

Amesema anaondoka kwenye nafasi hiyo kwa bashaha, na yeye ni mdogo kuliko Simba. Pia, amemshukuru Mo kwa imani kubwa kwake na amewaomba wapenzi na mashabiki wa Simba kumpa ushirikiano wakati akianza kuisuka upya timu hiyo.

Try Again alianza kushika nafasi ya juu ya Uongozi ndani ya Simba SC 2017 kama Kaimu Rais wa Simba SC, Mjumbe wa Bodi na hatimae Mwenyekiti wa Bodi.

Pia soma:
 
View attachment 3014712

Akizungumza na Azam TV, Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC Salim Abdallah (Try Again) ametangaza kujiuzuru wadhifa wake.

Amewashukuru mashabiki na wajumbe wa bodi aliofanya nao kazi kwa ukaribu. Amewaomba wanachama wa Simba kuwa wamoja na kuondoa migogoro.

Aidha, amesema baada ya mashauriano mengi, yeye pamoja na wajumbe wenzake wameona Mo Dewji anafaa kuwa Mwenyekiti wa Bodi, na anatumaini atakubali ombi hilo.

Amesema anaondoka kwenye nafasi hiyo kwa bashaha, na yeye ni mdogo kuliko Simba.
kwahiyo ame-give up ku-try again
 
Back
Top Bottom