Salim Abdallah 'Try Again' ajiuzulu uenyekiti bodi ya wakurugenzi Simba

Salim Abdallah 'Try Again' ajiuzulu uenyekiti bodi ya wakurugenzi Simba

Kwahiyo Mangungu anacheza namba ngapi uwanjani?, Mangungu Hana pesa ameshikilia dhamana ya nembo ya Simba tu, Try again alikuwa na pesa ndiye alikuwa na jukumu la usajiri.... Kwa itifika Try again ni mkubwa au boss wa Mangungu. Mangungu anaingia mkutano wa bodi kama mjumbe tu 🤣🤣... Washabiki wa Simba nyie ni viazi. Mangungu hatoki tutamlimda hata kwa jambia alooo😜
 
Mi kwa maoni yangu.
MO ameshindwa kuhimili ghalama za
Simba Sports Club.
Hao wanao jiudhuru ni kama wanajitoa sadaka tu.
Marehemu Msabaha aliita Bangusilo.
Ki ukweli Uwezo wa MO wa kuimiliki Simba umeisha.

Na nasema hapo mbele kidogo tu, MO ataitema Simba.
Ni kama unapomsomesha mwanamke.
Wakati unamsomesha anakuwa katika status ndogo ya kuweza kumhudumia.
Akimaliza Degree zake ni lazima atapanda ghalama na huta weza kummiliki tena.
Ndivyo ilivyo Simba na kwa sasa.
Simba ishakuwa Brand kubwa sana MO hawezi tena kuimiliki ingawa aliipandisha yeye.

Ushauri wangu MO aachane na Simba ili abaki kwenye nafasi yake.
Maneno mengi ni dalili za kukosa uwezo.
Kila siku ni wimbo wa Billioni Ishirini tu.
Ni kama kumwambia yule Mwanamke
"nimekulipia ada za chuo hadi ukahitimu mimi"
Nafuu ya MO ni kuachana na Simba.
Hizo ghalama zake Simba itakaa na kuona watazibalance vipi ili kuepukana na maneno maneno mengi yanayo jirudia rudia hadi kukera wadau wa Simba.
 
Mwijaku kanuna
Mwijaku yule ni chawa mkubwa wa GSM hivyo yale yote anayotapika ni jukumu alilopewa. Simba imekuwa na mamluki wengi kuanzia viongozi,wachezaji hadi wanachama na washabiki. Maneno aliyosema Cadena siyo ya kupuuza hata kidogo,zile goli tano ilikuwa biashara wa baadhi ya viongozi. Mtu kama huyo CPA uchwara taarifa zake tunazo hata kikao alichoitisha bar juzi ni project ya GSM.
 
Mimi nimefurahishwa tu kuona Mangungu amegoma kujiuzulu. Haiwezekani amlete mpaka Caesar Manzoki kutoka China, siku ya uchaguzi mkuu uliopita! Halafu kirahisi tu ajiuzulu!!
Atatoka tuu na yeyw muda ukifika...
Tupo hapa na mwekezaji Mo mpka kieleweke...wawekezaji wanaoitaka timu wajitokeze tuwaone
 
View attachment 3014712
View attachment 3014840
Akizungumza na Azam TV, Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC Salim Abdallah (Try Again) ametangaza kujiuzuru wadhifa wake.

Amewashukuru mashabiki na wajumbe wa bodi aliofanya nao kazi kwa ukaribu. Amewaomba wanachama wa Simba kuwa wamoja na kuondoa migogoro.

Aidha, amesema baada ya mashauriano mengi, yeye pamoja na wajumbe wenzake wameona Mo Dewji anafaa kuwa Mwenyekiti wa Bodi, na anatumaini atakubali ombi hilo.

Amesema anaondoka kwenye nafasi hiyo kwa bashaha, na yeye ni mdogo kuliko Simba. Pia, amemshukuru Mo kwa imani kubwa kwake na amewaomba wapenzi na mashabiki wa Simba kumpa ushirikiano wakati akianza kuisuka upya timu hiyo.

Try Again alianza kushika nafasi ya juu ya Uongozi ndani ya Simba SC 2017 kama Kaimu Rais wa Simba SC, Mjumbe wa Bodi na hatimae Mwenyekiti wa Bodi.

Pia soma:
Aende tu...
 
View attachment 3014712
View attachment 3014840
Akizungumza na Azam TV, Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC Salim Abdallah (Try Again) ametangaza kujiuzuru wadhifa wake.

Amewashukuru mashabiki na wajumbe wa bodi aliofanya nao kazi kwa ukaribu. Amewaomba wanachama wa Simba kuwa wamoja na kuondoa migogoro.

Aidha, amesema baada ya mashauriano mengi, yeye pamoja na wajumbe wenzake wameona Mo Dewji anafaa kuwa Mwenyekiti wa Bodi, na anatumaini atakubali ombi hilo.

Amesema anaondoka kwenye nafasi hiyo kwa bashaha, na yeye ni mdogo kuliko Simba. Pia, amemshukuru Mo kwa imani kubwa kwake na amewaomba wapenzi na mashabiki wa Simba kumpa ushirikiano wakati akianza kuisuka upya timu hiyo.

Try Again alianza kushika nafasi ya juu ya Uongozi ndani ya Simba SC 2017 kama Kaimu Rais wa Simba SC, Mjumbe wa Bodi na hatimae Mwenyekiti wa Bodi.

Pia soma:
Bado Mangungo na wajumbe wengine wa bodi matapeli wanatudanganya eti wanataka kutengeneza mfumo!
Siku zote walikuwa wapi kufanya hivi?
Safisha uchafu wote,viongozi na wachezaji waliosaliti timu na tukafungwa hovyo hovyo.
Waache bila kuangalia majina yao ili waende wanapopataka
 
Mangungo ni mamluki wa utopolo.
Asipoondoka huyo jamaa,Simba haiwezi kufanikiwa.Kizee kinakula kwa Jamukaya
 
Bado upande wa Mangungu nako tunataka fagio lipite
Waanze vibaraka wale akina masudi mwenye cpa ya mchongo.. hao ndio walikua wanafanya hujuma kwa wachezaji sababu tu majina ya wachezaji hayajapita kwao
 
Mwijaku yule ni chawa mkubwa wa GSM hivyo yale yote anayotapika ni jukumu alilopewa. Simba imekuwa na mamluki wengi kuanzia viongozi,wachezaji hadi wanachama na washabiki. Maneno aliyosema Cadena siyo ya kupuuza hata kidogo,zile goli tano ilikuwa biashara wa baadhi ya viongozi. Mtu kama huyo CPA uchwara taarifa zake tunazo hata kikao alichoitisha bar juzi ni project ya GSM.
Ni kweli mkuu, huyo mwehu mwenye cpa ya mchongo na genge lake ndio wahusika wakuu wa hujuma ndani ya simba. Fagio linakuja upande wa akina mangungu.
 
Atatoka tuu na yeyw muda ukifika...
Tupo hapa na mwekezaji Mo mpka kieleweke...wawekezaji wanaoitaka timu wajitokeze tuwaone
Ngungus Boy hatoki mpaka amalize muda wake wa uongozi,hawezi kutoka kwa maneno ya vijiweni. Tupo na Ngungus Boy mpaka mwisho.
 
Back
Top Bottom