Hao watatoka tu mbona katika historia ya watu wabishi wale hawajafikia hata nusu ya viongozi waliowahi kusumbuaWaanze vibaraka wale akina masudi mwenye cpa ya mchongo.. hao ndio walikua wanafanya hujuma kwa wachezaji sababu tu majina ya wachezaji hayajapita kwao
UmenenaMi kwa maoni yangu.
MO ameshindwa kuhimili ghalama za
Simba Sports Club.
Hao wanao jiudhuru ni kama wanajitoa sadaka tu.
Marehemu Msabaha aliita Bangusilo.
Ki ukweli Uwezo wa MO wa kuimiliki Simba umeisha.
Na nasema hapo mbele kidogo tu, MO ataitema Simba.
Ni kama unapomsomesha mwanamke.
Wakati unamsomesha anakuwa katika status ndogo ya kuweza kumhudumia.
Akimaliza Degree zake ni lazima atapanda ghalama na huta weza kummiliki tena.
Ndivyo ilivyo Simba na kwa sasa.
Simba ishakuwa Brand kubwa sana MO hawezi tena kuimiliki ingawa aliipandisha yeye.
Ushauri wangu MO aachane na Simba ili abaki kwenye nafasi yake.
Maneno mengi ni dalili za kukosa uwezo.
Kila siku ni wimbo wa Billioni Ishirini tu.
Ni kama kumwambia yule Mwanamke
"nimekulipia ada za chuo hadi ukahitimu mimi"
Nafuu ya MO ni kuachana na Simba.
Hizo ghalama zake Simba itakaa na kuona watazibalance vipi ili kuepukana na maneno maneno mengi yanayo jirudia rudia hadi kukera wadau wa Simba.
Upo sawa ni nguvu MOYASiyo “nguvu moya” ni “guvu moya”
Utakuwa uto
Kwahiyo jukum la mjumbe ni nini au ni kwenda kutoa macho tu nakujaza viti joto si ndio?.Hadi hapa inaonyesha wewe na huyo unayemtetea hamjui wajibu wenu.Kwahiyo Mangungu anacheza namba ngapi uwanjani?, Mangungu Hana pesa ameshikilia dhamana ya nembo ya Simba tu, Try again alikuwa na pesa ndiye alikuwa na jukumu la usajiri.... Kwa itifika Try again ni mkubwa au boss wa Mangungu. Mangungu anaingia mkutano wa bodi kama mjumbe tu 🤣🤣... Washabiki wa Simba nyie ni viazi. Mangungu hatoki tutamlimda hata kwa jambia alooo😜
Haya ngungus sonNgungus Boy hatoki mpaka amalize muda wake wa uongozi,hawezi kutoka kwa maneno ya vijiweni. Tupo na Ngungus Boy mpaka mwisho.
Mjumbe hana analoweza kuamua mbele ya mwenyekiti wa bodi!!, mawazo yake yanaweza kupokelewa au kutopokelewa... Katika taasisi yoyote inapofanya vibaya mtu wa kwanza kujiuzuru huwa n mtendaji mkuu... Hivi huwa mna akili kweli nyie kolo😅😅😜Kwahiyo jukum la mjumbe ni nini au ni kwenda kutoa macho tu nakujaza viti joto si ndio?.Hadi hapa inaonyesha wewe na huyo unayemtetea hamjui wajibu wenu.