MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Ulitaka amuulize swali gani wewe msukule wa mzee Mbowe?Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Mbowe anaonewa🙆♂️🙆♂️🙆♂️hiyo ndio kazi ya muandishi wa habari ulitaka ahoji nini..??
Ana hoji facts si kutumika, you should know muandishi kama salim hana upande, so ata hoji yoyote kwa factsAkiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Ana hoji facts si kutumika, you should know muandishi kama salim hana upande, so ata hoji yoyote kwa factsAkiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Kikeke hana chama alikuwa sahihi kuulizaAkiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Na alihoji vizuri na Mbowe kakiri kuwa hana watu kuwa pale kweli hana watu anategemea tu waandishi wa habari labda ndio waandamane naye kwenye maandamanoAna hoji facts si kutumika, you should know muandishi kama salim hana upande, so ata hoji yoyote kwa facts
Mbona ni swali la kawaida tu maana kweli watu hawakuwepo.Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Na Mbowe kakiri kuwa hana watu labda wao waandishi wa habari ndio wamsaidie kuandamana naoMbona ni swali la kawaida tu maana kweli watu hawakuwepo.
Kwani wewe kwa akili yako uliwaona watu wa kuandamana? Mbona hata wewe hujaenda kuandamana?
Kama watu hawakuwepo mbowe kakamatwa na mbwa au nyani?Mbona ni swali la kawaida tu maana kweli watu hawakuwepo.
Khaaa sasa ulitaka aulizwe swali gani? haya ndio maswali sasaAkiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?