Salim Kikeke anatumiwa na CCM

Salim Kikeke anatumiwa na CCM

Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
kilichokuuma zaidi hapo,
ni swali la kikeke au jibu la Mbowe gentleman?

Na wakati huo wewe ulikua wap?🐒
 
Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Mzee unampangia hadi mwandishi swali la kuuliza ili ikufurahishe wewe aise chadema mna matatizo makubwa sana napata picha siku mkikamata dola kama akili zenyewe ndio hizi
 
Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Ilo ni swali la kuchokoza mada , sio anatumika mkuu. Tunaanzanga low key uku tukipanda
 
Salim Kikeke ni division four failure, ya mwaka 1988 , Makumira secondary.
Msamehe Bure!
 
Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Kuna Mwandishi yeyote anaejitambua anaweza kubali kutumiwa na Wapinzani? Afe njaa?

Mbona crown media inampamba Mama kama kawaida?

Mwisho kwani Chadema si mna vyombo vyenu kama Jambo tv,Mwanzo plus na kina Mawaio/Mwanahalisi mbona CCM hailalmiki?
 
Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
 

Attachments

  • 20240923_163338.jpg
    20240923_163338.jpg
    83 KB · Views: 1
Mbowe kawapiga bao la tobo!!!!

Hi mechi Mbowe ni mshindi

Wamelala nacho!!!
Acha kujifariji kamandaa.

Sasa bao liko wapi pale ?

Tanzania ina vituko sana hii nchi,wana CCM wana vituko,CHADEMA NAO wana vituko ,wasiokuwa wana siasa nao wana vituko,yaaani tafrani.
 
mwandishi wa habari mkubwa,mzoefu na mahiri kama salim kikeke hakutakiwa kuuliza swali jepesi, chokozi na dhaifu namna ile! alitakiwa aulize hivi "mh. Mbowe, mlitangaza maandamano yenu ya amani yatafanyika leo,lakini kwa hapa tulipo na maeneo mengi nchini watu hawajitokezi,je unaweza kutuambia nn kimechangia kukwama au kuahrishwa kwa maandamano haya?".
 
Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
hivi unataka kumpangia muandishi maswali ya kuulza? dah sijui watanzania nani alituroga .
 
hivi unataka kumpangia muandishi maswali ya kuulza? dah sijui watanzania nani alituroga .
Misukule ya mzee Mbowe hakika ni shida ila nchi inavuna kilichopandwa na huyu mzee. Kalisha vijana ujinga wa kupinga kila kitu matokea yake wamabaki na akili sifuri.
 
Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Hapo ndipo akili yako ilipoishia, ulitaka ahoji vile unavyopenda wewe?
 
Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Tanzania bwana huwa hamuamini kama watu wako neutral. jamaa anafanya kazi yake vizuri.
 
Tanzania bwana huwa hamuamini kama watu wako neutral.
Neutral? What a shame!
Remaining neutral sends a message that we condone the behaviour, and it perpetuates the problem.
We are responsible for speaking up and acting when we witness something morally wrong.
Neutrality
is not an option in the face of injustice.
 
Back
Top Bottom