Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kilichokuuma zaidi hapo,Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Tena mpaka kahojiwa na Kikeke!!Mbowe kawapiga bao la tobo!!!!
Hi mechi Mbowe ni mshindi
Wamelala nacho!!!
Mzee unampangia hadi mwandishi swali la kuuliza ili ikufurahishe wewe aise chadema mna matatizo makubwa sana napata picha siku mkikamata dola kama akili zenyewe ndio hiziAkiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Ilo ni swali la kuchokoza mada , sio anatumika mkuu. Tunaanzanga low key uku tukipandaAkiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Kuna Mwandishi yeyote anaejitambua anaweza kubali kutumiwa na Wapinzani? Afe njaa?Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Waandamanaji hawakuwepo ni hivyo tu.Kama watu hawakuwepo mbowe kakamatwa na mbwa au nyani?
Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Acha kujifariji kamandaa.Mbowe kawapiga bao la tobo!!!!
Hi mechi Mbowe ni mshindi
Wamelala nacho!!!
Kufeli necta sio issue..issue ni kazi anayoifanya anaijua. Besides kama una akili timamu Ile mitihani ya necta huwezi kuifaulu labda ukremishe... Elimu chechefuSalim Kikeke ni division four failure, ya mwaka 1988 , Makumira secondary.
Msamehe Bure!
Wewe msikule wa msagajiUlitaka amuulize swali gani wewe msukule wa mzee Mbowe?
hivi unataka kumpangia muandishi maswali ya kuulza? dah sijui watanzania nani alituroga .Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Tueambia kuhusu Lema, Sugu, Wenje na Wengine kama Mdude na MaranjaSalim Kikeke ni division four failure, ya mwaka 1988 , Makumira secondary.
Msamehe Bure!
Misukule ya mzee Mbowe hakika ni shida ila nchi inavuna kilichopandwa na huyu mzee. Kalisha vijana ujinga wa kupinga kila kitu matokea yake wamabaki na akili sifuri.hivi unataka kumpangia muandishi maswali ya kuulza? dah sijui watanzania nani alituroga .
Hapo ndipo akili yako ilipoishia, ulitaka ahoji vile unavyopenda wewe?Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Tanzania bwana huwa hamuamini kama watu wako neutral. jamaa anafanya kazi yake vizuri.Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Neutral? What a shame!Tanzania bwana huwa hamuamini kama watu wako neutral.
Kwetu ccm anahoji?hiyo ndio kazi ya muandishi wa habari ulitaka ahoji nini..??