Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Weledi ni janga la taifa kwa waandishi. Ndiyo maana siku zote hawezi kuhoji vitu vya msingi.Mnapenda kuulizwa mnayopenda tu, yeye hajaona waandamanaji kwani akiuliza ni kosa??
Labda Mbowe na watu wake wana namna au maana nyingine ya maandamano.
Mwandishi wa habari anafaa kuwa neutral anapokuwa anawasilisha habari au anafanya mahojiano.Neutral? What a shame!
Remaining neutral sends a message that we condone the behaviour, and it perpetuates the problem.
We are responsible for speaking up and acting when we witness something morally wrong.
Neutrality is not an option in the face of injustice.
Swali zuri na ndio ukweli wa mambo, halina uhusiano wowote wa Kikeke kutumiwa na CCM ulitaka aulizeje sasa?Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Ila mimi nimependa jibu la Mh Mbowe.Akiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Swali zuri mbowe ana mambo yakeAkiwa karibu kabisa na uso wa Mbowe, Salim Kikeke amesikika akimuuliza mwenyekiti, nanukuu "watu wako wapi, mbona hamna kabisa watu wa kuandamana" bila kumumunya maneno gwiji la demokrasia Afrika mh Mbowe akajibu "tutaandamana na nyinyi(waandishi)".
Kulikuwa na haja gani ya Kikeke kuuliza swali kama hilo labda kama anatumiwa na CCM?
Kajibu ukweli kuwa hana watu wa kuandamana nayeIla mimi nimependa jibu la Mh Mbowe.
Division 1 au 0 ya Tanzania kule BBC ambapo ndipo kumemtengenezea jina zote zipo sawa.Vyeti vyetu ni sawa na makaratasi ya kufungia chapati.Salim Kikeke ni division four failure, ya mwaka 1988 , Makumira secondary.
Msamehe Bure!
Tanzania alipata division fourDivision 1 au 0 ya Tanzania kule BBC ambapo ndipo kumemtengenezea jina zote zipo sawa.Vyeti vyetu ni sawa na makaratasi ya kufungia chapati.
Kikeke division four ya Makumira secondary Kamzidi Mbowe ,Mbowe ni Divisio zero ya Ihungo secondarySalim Kikeke ni division four failure, ya mwaka 1988 , Makumira secondary.
Msamehe Bure!
Nitakuwekea matokeo ya Salim kikekeKikeke division four ya Makumira secondary Kamzidi Mbowe ,Mbowe ni Divisio zero ya Ihungo secondary
Ndio maana Kikeke division four kamtandika swali Mbowe division zero katoka kapa
Aliyekuzidi division usicheze naye .Leo Kikeke division four kadhibitisha hilo kuwa division four ni kubwa kuliko division zero hata kwa uwezo wa maswali
Sasa bao gani la tobo la bulaza? ππMbowe kawapiga bao la tobo!!!!
Hi mechi Mbowe ni mshindi
Wamelala nacho!!!
Kaibukia uvunguni mwao pale pale alipowaelekeza atakapoanzia maandamanoSasa bao gani la tobo la bulaza? ππ
Kwanini asiulize?Weledi ni janga la taifa kwa waandishi. Ndiyo maana siku zote hawezi kuhoji vitu vya msingi.
Kwa mazingira yale kama mwandiahi huwezi kuuliza lile swali.