Una uhakika gani kama picha anazopost ni za sasa? Au huwa anakuwa live? Maana inawezekana anatumia picha za zamani akiwa london au huenda anakuwa sehemu yenye baridi kwa wakati huo.View attachment 2855658
GTs naomba kuuliza hivi huyu ndugu Kikeke a.k.a muingereza mweusi huwa hasikii joto na hilo sweta lake?? Maana kila anakoenda na li sweta lake, je anadhani bado yupo uingereza?????? Hebu atupe majibu maana ninavyoelewa walioishi kwenye baridi kila sehemu wakienda kwa Tanzania ni bukta na tshirt ila Mr. UK yeye na sweta lake tu.
GamperaView attachment 2855658
GTs naomba kuuliza hivi huyu ndugu Kikeke a.k.a muingereza mweusi huwa hasikii joto na hilo sweta lake?? Maana kila anakoenda na li sweta lake, je anadhani bado yupo uingereza?????? Hebu atupe majibu maana ninavyoelewa walioishi kwenye baridi kila sehemu wakienda kwa Tanzania ni bukta na tshirt ila Mr. UK yeye na sweta lake tu.
Wewe utakuwa mlevi wa Salim Kikeke, maana unafuatilia sana picha zake hadi kujua anavaa masweta kila kwenye picha, kitu ambacho kawaida mtu hawezi ku noticeWewe utakuwa mlevi wa wanzuki kama siyo komoni au rubisi au ulanzi
Kama ww ni wakiume pole sana mkuu.View attachment 2855658
GTs naomba kuuliza hivi huyu ndugu Kikeke a.k.a muingereza mweusi huwa hasikii joto na hilo sweta lake?? Maana kila anakoenda na li sweta lake, je anadhani bado yupo uingereza?????? Hebu atupe majibu maana ninavyoelewa walioishi kwenye baridi kila sehemu wakienda kwa Tanzania ni bukta na tshirt ila Mr. UK yeye na sweta lake tu.
Hata mm amenishangaza sanaWewe utakuwa mlevi wa Salim Kikeke, maana unafuatilia sana picha zake hadi kujua anavaa masweta kila kwenye picha, kitu ambacho kawaida mtu hawezi ku notice
Labda anayo mengiNdiyo iwe kila siku sweta hilo hilo, rangi hiyo hiyo? Halinuki jasho?
unajuaje kama ana sweta hilo hilo moja tu? kama anayo saba au labda kumi!Ndiyo iwe kila siku sweta hilo hilo, rangi hiyo hiyo? Halinuki jasho?