Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Vijana wako hao mrangi wana mind hata mtu akivaa sweta lake alilonunua kwa pesa yake,kazi kweliDuh
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wako hao mrangi wana mind hata mtu akivaa sweta lake alilonunua kwa pesa yake,kazi kweliDuh
Ova
Duh!...wabongo bhana....fanyeni kazi.Ndiyo iwe kila siku sweta hilo hilo, rangi hiyo hiyo? Halinuki jasho?
Mkandawile mkari wa Chemistry na Biology akianza kukufundisha utafikir anakuhadithia Hadith moja tamu.Moraa ya posta kuna watu wanavaa suti kila siku.
Namkumbuka mwalimu Mkandawile wa enzi zile elimu ilikuwa mgogoro. Yule mwalimu kila siku alivaa SUTI.