Salim Kikeke hivi Sweta lako huwa husikiii Joto?

Kweli tz jobless ni janga la kitaifa
 
The smartest person has got no whether.Bilashaka linamfanya anakua smart sana,hivyo anaona akiliacha u-smart wake utapungua.
 
A GENTLEMAN HAS GOT NO WEATHER.
 
Samahani mkuu, kwani akivaa au asipovaa tatizo liko wapi, ni maamuzi yake, we unahusikaje hapo?
 
Acha uboya wewe au una k
 
Wewe utakuwa mlevi wa Salim Kikeke, maana unafuatilia sana picha zake hadi kujua anavaa masweta kila kwenye picha, kitu ambacho kawaida mtu hawezi ku notice
Hizi anazozileta ni tabia za Facebook na Instagram,kwanini amfuatilie mtu kiasi hicho
 
Sweta lake,, kanunua Kwa pesa yake,,anavaa Kwa ajili yake,sasa wewe ni nini inauma asee??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…