Salim Kikeke: Ili ufikie Umahiri wa Kina Tido Mhando Lazima Ukwepe Kutumiwa

Usiwe bwege bwana! Nawe tafuta nini alisema Mrema uje uone kwa nini nasema Kikeke anamlisha maneno Mrema ambayo hajasema?
Ukileta thread weka maelezo yote, ya Kikeke na ya Mrema, tunaosoma thread yako tuelewe. Unaanzisha Uzi watu waanze kutafuta alichosema Mrema kulinganisha na Kikeke ndo nini!?, haraka ilikuwa ya nini!?,toa maelezo ya Mrema na Kikeke watu wajadili vinginevyo unaonekana mbabaishaji. Au wewe ndo Mrema nini!?
 
Hata mimi nimemshangaa Kikeke. Ninaishi nchi ambazo Waandishi wa habari wanahoji kweli kweli. Ila yale maswali yalilenga kutengeneza mgogoro chadema.
Kweli tofauti ya siku kama 10 barua kufika ofisini ni lazima kamati kuu wote wajue? Watajuaje kama Katibu haja share na wengine hiyo taarifa?

Jamaa wa hovyo sana . Wacha aendelee kuwa chawa.

Niliiona hata alivyoongea na Rais Samia.

Shida ni kutafuta maisha rahisi rahisi TZ kwa mgongo wa pesa za umma
 
Salama ana interview zake, hasa maswala ya Social + Entertinment anafanya vizuri sana.
Ukija kwenye siasa wa kawaida sana, rejea interview yake na JK watu tulitegemea amchokonoe mzee ajibu mambo mengi lkn aliyliza very prety issues kama anamuuliza Diamond, kumbe ni mtu alie wai kua mkuu wa nchi
 
Yaani kisa kauliza maswali yanayokwaza chama chalk basi anakua low!!?..nyie wavaa kombati mna shida sana

..haina tatizo kama Kikeke atauliza maswali yanayowakwaza wapinzani.

..tatizo ni kwamba Kikeke haulizi maswali yanayowakwaza Ccm na serikali hata siku moja.

..wanahabari wanatakiwa waulize maswali magumu kwa pande zote, na sio kuwa vibaraka wa Ccm na serikali.
 
Nimesikiliza, unaona kabisa kuwa Kikeke ana inclination fulani....
 
Maswali gani yanayoikwaza CCM ambayo kikeke hakuuliza wakati anamuhoji nani?
 
Acha ushamba.
 
Kikeke hawezi kuwa bumunda kisa kakukera,wewe ndiye bumunda
Angalia interview yake na Fatma Karume. Fatma alimfanya awe bumunda siyo mimi. Kwa watu wa level ya chini kama wewe Kikeke ni kama mungu mtu, ila kwangu, mwenye exposure na elimu, Kikeke ni wa kawaida sana. Anashindwa hata na TV online za mtaani za Kenya.
 
Hivi ili uwe na fikira finyi namna hii mnosomea wapi?
 
Exposure inahusika nini na substances kwenye fikra za mtu!?..acha ushamba,mi natazama interviews CNN, BBC,al jazeera tangu una tongotongo,tangu mtangazaji wa hard talk hana mvi, christian amanpour binti na fareed zakaria hajaenda CNN,unamuita mtu bumunda kisa hafit your agenda!!..acheni ujinga na kombati zenu
 
Your writing does not show that you are a person capable of following meaningful interviews. I said I disrespected him because I heard him interviewing Fatma Karume, and he showed that he is not competent. He is overrated. If you had any sense, you would go to YouTube and listen to that interview. A journalist should not be as timid as he showed in those interviews. For your information, I am not a member of any political party, but I cannot refrain from questioning the foolish things being done by journalists in Tanzania
 
Anachopaswa kujua ni hiki, Akishadharauliwa hapa JF atakuwa amedharauliwa Duniani na Mbinguni

Awe Makini mno!
 
Overated by BBC, right!?
 
Tatizoni aina ya chombo anachofanyia,Crown Radio mwisho wa kusikika chalinze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…