Salim Kikeke kufanya mahojiano na Mbowe kuanzia saa 12 jioni ya leo

Salim Kikeke kufanya mahojiano na Mbowe kuanzia saa 12 jioni ya leo

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
1735921174456.png


Hii ndio habari nimeona mtandaoni jioni hii:

Mahojiano yatakuwa live kupitia YouTube.


View: https://www.youtube.com/watch?v=PjKQHmASvCM
 
Hii ndio habari nimeona mtandaoni jioni hii:

Mahojiano yatakuwa live kupitia YouTube.
sasa hiyo you tube wanadhani kila mtu anayo? Mativii yapo mengi si wangefanya mahojiano yao huko?
 
mbowe nafikiri anakwenda kusawazisha mambo

ikumbukwe yeye ndie miliki wa duka sasa mawinga walitaka kujimilikisha kihuni
 
Ayatolah Mbowe kashusha nondo gani huko?tunaomba summary
 
Back
Top Bottom