Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halafu mtu aliye instagram anaepost kila sehemu alipo,siyo msanii .Ninamuona kama fala flani hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halafu mtu aliye instagram anaepost kila sehemu alipo,siyo msanii .Ninamuona kama fala flani hivi.
Ni wale wale😂😂😂😂😂😂Unakumbuka ya mkuu wa mkoa wa daresalaam kule mwanza...??
Tunaishi kwa hisiaNaona ni swala la muda tu tutapewa tangazo hilo,,hasa baada ya Msigwa kuhamishiwa wizara ya habari kuwa katibu mkuu ni wazi Sasa kuwa kikeke hakuacha kazi bure kule London
Bora huyu, mana tusikalili kwamba lazima mwanahabari atoke BBC ndio apate shavu!!Mara Paaap Farhia Midlle
Amepata EfmKikeke haingii pale asilani,ye atafute tu kazi zingine.
Yaani nimewahi kuwaza hivyo but nikapotezea manake Kazi yake haikua na impact yoyote katika maisha ya kila siku ya Mtanzania, now wameanza kumpa milage nimestuka kidogo, yaani kuwa hodari wa kusoma Teleprompter tuu ndio apewe Kazi kubwana sensitive kama hiyo!?KiKeke anaweza kuwa na jina kubwa ila hana kitu kichwani.
Analazimisha utoto na hajui kuwa watu wanamchora kama fala flani hiviYule ana utoto sana,kuna siku nikaangalia pg yake instagram.Yani kama mtoto.
Si unajua tena waswahili kwa Ramli 😄 🤣Kwa ndio sababu yake ya kuacha BBC! Alishaambiwa anakuja huku. Duh!
Lisemwalo lipo and the new state spokesman 'msemaji wa Taifa' is Salim KikekeNaona ni swala la muda tu tutapewa tangazo hilo,,hasa baada ya Msigwa kuhamishiwa wizara ya habari kuwa katibu mkuu ni wazi Sasa kuwa kikeke hakuacha kazi bure kule London
Naona ni swala la muda tu tutapewa tangazo hilo,,hasa baada ya Msigwa kuhamishiwa wizara ya habari kuwa katibu mkuu ni wazi Sasa kuwa kikeke hakuacha kazi bure kule London
Linafaa kwenye serikali ya ccm[emoji23][emoji23][emoji23]
Lile Dish
Aliwahi kuhojiwa live kwenye BBC world alishindwa kuongea kabisa ikabidi interview ikatishweYaani nimewahi kuwaza hivyo but nikapotezea manake Kazi yake haikua na impact yoyote katika maisha ya kila siku ya Mtanzania, now wameanza kumpa milage nimestuka kidogo, yaani kuwa hodari wa kusoma Teleprompter tuu ndio apewe Kazi kubwana sensitive kama hiyo!?
Kama ni lazima kupewa Kaz basi waanze kumgroom aje achukue Kazi za kina Shabban Kissu na Yule Baba yake Mavunde..manake siwaoni/siwasikii siku hizi.
Linafaa kwenye serikali ya ccm