Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Behaviourist dear naomba jibu tafadhaliCcm + Mwijagu = ……………..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Behaviourist dear naomba jibu tafadhaliCcm + Mwijagu = ……………..
Nikupoteza mda tu yanakera sana!Kikeke nayeye kumbe ni chawa.Haya mambo ya ma CCM hata kujadili sitaki. Nyie endeleeni, mambo ya hovyo sana.
Ndo kunamfaa,akitoka aende wasabi ni muda tuAmepata Efm
Asante sana Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vizuriJamani msimsahau ndugu Pascal Mayalla ni mwanahabari mzoefu na mwanasheria nguli ile nafasi inamfaa kabisa
Islamic State.Naona ni swala la muda tu tutapewa tangazo hilo,,hasa baada ya Msigwa kuhamishiwa wizara ya habari kuwa katibu mkuu ni wazi Sasa kuwa kikeke hakuacha kazi bure kule London
Pascal Mayala
Au Bahati Alex.Bora huyu, mana tusikalili kwamba lazima mwanahabari atoke BBC ndio apate shavu!!
Yule ana utoto sana,kuna siku nikaangalia pg yake instagram.Yani kama mtoto.
Duh... karibu Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vizuriPascal Mayalla bro huna ng'ombe usukumani utoe kafara Kaka?
Oga Sanaa maji ya bahari.
Asante sana ila karibu Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vizuriPascal Mayala
Salim Kikeke
Bahati Alex
Farhia Middle
Maulid Kitenge
Mmoja wenu hapo ataibuka kidedea.
Ahaaaaa ahaaaaa "Wasanii"Ndo kunamfaa,akitoka aende wasabi ni muda tu
Hapa hamna kitu kweli. Kaishia darasa la ngapi huyu?
Yaani wewe uhishiwi vituko🤣🤣🤣