Skid Row Boy
JF-Expert Member
- Mar 15, 2023
- 290
- 401
Hahahaaaa!!! Una hakika kuwa jamaa hana mke !! Hana watoto?!!kwanza naona kama mhuni vile .mtu at 45 years hana mke why?
Relationship Statistics of Salim Kikeke
What is Salim Kikeke marital status?
Salim Kikeke is single.
Wewe ndo ulio mvua utanzania? Kwa kuoaJibu hoja, kama huna hoja Kaa kimya. Salm Kikeke ameo mke Mwingereza, which means automatically ni RAIA wa uingereza ! Je uraia pacha unaruhusiwa Tanzania???
kwanza naona kama mhuni vile .mtu at 45 years hana mke why?
Relationship Statistics of Salim Kikeke
What is Salim Kikeke marital status?
Salim Kikeke is single.
Mbona waislam hiyo mitaa siyo wengi. Na majina yao mbona huko hyera, au kikeke ni mnyama gani?Salim Kikeke anatokea Kijiji Cha Kigonsera Wilaya ya Mbinga Mkoa wa Ruvuma. Ni Mngoni.
Waislamu wapo hata kwetu kule Nyasa wapo, ingawa sio kihivyoMbona waislam hiyo mitaa siyo wengi. Na majina yao mbona huko hyera, au kikeke ni mnyama gani?
Kwani mnashindanishwa naye kwa ile kazi?Salim Kikeke ambaye alikuwa mtangazaji wa BBC ni Raia wa Tanzania?
Hili nimeliuliza ili kuwaachia watu wa Vetting kazi ya kufanya week end hii!
Niwatakie jumapili njema.
I see!Salim Kikeke anatokea Kijiji Cha Kigonsera Wilaya ya Mbinga Mkoa wa Ruvuma. Ni Mngoni.
Kikeke ana uraia wa Somalia?Ni msomali mkuu
FactAcha kujadili watu, wewe tafuta maisha yako kama sio mtanzania kwani wewe ni mtanzania?
Mmeanza kumsagia kunguni jamaa ili asile shavu kutoka nyumba nyeupeSalim Kikeke ambaye alikuwa mtangazaji wa BBC ni Raia wa Tanzania?
Hili nimeliuliza ili kuwaachia watu wa Vetting kazi ya kufanya week end hii!
Niwatakie jumapili njema.
Kikeke maana yake? Kuna Msigwa etcWaislamu wapo hata kwetu kule Nyasa wapo, ingawa sio kihivyo
Dingi anasema kuna mnyama anaitwa hivyo. Msigwa sio mngoni ni Mkinga aliyezaliwa Makambako naa kukulia Songea alikosoma, kuoa na kuishiKikeke maana yake? Kuna Msigwa etc
Msigwa wengine wakinga wengine wapangwa...huko huko NjombeDingi anasema kuna mnyama anaitwa hivyo. Msigwa sio mngoni ni Mkinga aliyezaliwa Makambako naa kukulia Songea alikosoma, kuoa na kuishi
Nenda akuoekwanza naona kama mhuni vile .mtu at 45 years hana mke why?
Relationship Statistics of Salim Kikeke
What is Salim Kikeke marital status?
Salim Kikeke is single.
Asili yake ni Mngoni.Salim Kikeke ambaye alikuwa mtangazaji wa BBC ni Raia wa Tanzania?
Hili nimeliuliza ili kuwaachia watu wa Vetting kazi ya kufanya week end hii!
Niwatakie jumapili njema.
Jibu hoja, kama huna hoja Kaa kimya. Salm Kikeke ameo mke Mwingereza, which means automatically ni RAIA wa uingereza ! Je uraia pacha unaruhusiwa Tanzania???