Salim Kikeke siyo kwa ubaya ila ni ushauri tu, punguza mbwembwe na mikogo

Huwa sipendi kufichaficha ujinga huu ulioandika pia ni ujinga kama ulivyoona wa salim kikeke nawe upo hivyo hivyo
 
Yaani ungeniambia Akina Yvonna Kamuntu ambaye taarifa ya habar toka inaanza mpaka inaisha ni kujitaja tuuuu mpaka unajiuliza ni anazuzuka na hii studio au , kidooogo ningalikuelewa but siyo KIKEKE SALIM hii ni mashine acha kabisaa
 
Mada ndefu Ila dhima kuu imejikita kwa Liverpool sio Kikeke
 
Kama kuna siku GENTAMYCINE umewahi kupost jambo lisilo na MASHIKO, nafikiri LEO ni KIBOKO. Au sio wewe WAJANJA WAMETUMIA JINA LAKO?
 
Kuna mtangazaji wa ITV kutokea Kagera anaitwa Audacy Mtabazi.


Hahahaha duniani kuna vituko sn
 
Ukisema Salim Kikeke ana mbwembwe, mtafute jamaa mmoja huwa anatangaza habari za biashara hapo hapo bbc anaitwa Aaron Heslehurst ndio utachoka. Mtafutr youtube ujionee mwenyewe.
 
Inawezekana nyie ni watani wa jadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…