Salim Kikeke siyo kwa ubaya ila ni ushauri tu, punguza mbwembwe na mikogo

Salim Kikeke siyo kwa ubaya ila ni ushauri tu, punguza mbwembwe na mikogo

Kila nilipokuwa nikimtizama hasa anatangaza Taarifa ya Habari ya Runinga ambayo huwa inarushwa na Kituo cha Runinga cha Star tv kila Jumatatu hadi Ijumaa Saa 3 Kamili hadi Saa 3 Unusu nilikuwa nikidhani labda huwa ni bahati mbaya tu lakini kadri ambavyo nazidi ' Kumkodolea ' nimegundua ya kwamba huyu Mtangazaji ameshalewa pongezi / kongole.

Ewe Mtangazaji wa BBC Swahili Salim Kikeke hizi mbwembwe zako zifuatazo huwa unamfanyia nani?

  1. Taarifa ya Habari ikianza tu unaingia kwa mikogo huku ukidundika
  2. Taarifa ya Habari ikianza tu kila mara unatuzungushia zungushia Kalamu kwa mikogo
  3. Taarifa ya Habari ikianza tu ukienda Kukaa unapiga Nne zisizo na maana hadi unaboa
  4. Taarifa ya Habari ikianza tu na ukiwa katikati mara unaanza kujiangalia ulivyovyaa
  5. Taarifa ya Habari ikianza tu kuna muda huwa unaingiza ' mizaha ' isiyo na maana / tija
  6. Taarifa ya Habari ikianza tu huwa unapenda kutaka kuwa ' dominate ' wenzio hadi katika taarifa zao na nadhani huwa ' wanakumaindi ' ila pengine wanakustahi au wanakuogopa
  7. Taarifa ya Habari ikianza tu kuna muda unaonekana ' Kukonyeza ' vimacho vyako sasa Sijui nani kakuambia kuwa wote wanaotizama hiyo News Bulletin yenu ni Wanawake tupu
Salim Kikeke ambaye nilikuwa nikimfahamu wakati akiwa Tanzania akitangaza katika Media aliyokuwepo na hata Salim Kikeke ambaye alikuwa akitangaza alipokuwa chini ya ' Manguli ' akina Mzee Tido Dustan Mhando na Charles Nkwanga Hillary kabla hawajamuachia ' mikoba ' siyo huyu wa leo.

Yaani Mzee Charles Hillary pamoja na ' Uhenga ' wake wote lakini akisoma taarifa ya Habari ya Azam tv anakuvutia na unamwelewa vyema huku ukiwa na hamu ya kuzidi kumtizama akitiririka na akiserereka Kiusomaji wa Habari na akiwa hana hata chembe ya ' Mbwembwe ' na ' Mikogo ' kama ambavyo Wewe ( Salim Kikeke ) unafanya.

Badilika ' Comrade '.

GENTAMYCINE ni kama Bahari ambayo siku zote huwa haikai na uchafu hivyo kama ' utanimaindi ' kwa haya niliyoyadokeza hapa ' Jamvini ' poa lakini najua nimekuwa mmoja wa ' Mashujaa ' wa kuwa tayari kukupa ukweli ambao najua na nina uhakika ukiufanyia Kazi huenda ukaja kuwa bora zaidi.

Na cha Kushangaza kama siyo Kusikitisha hata hao ' Wazungu ' wenyewe wenye hiyo BBC yao wakiwa wanatangaza taarifa zao za Habari huwa hawana ' mbwembwe ' na ' mikogo ' kama yako na bado huwa tunawaelewa sana tu sasa inakuwaje Wewe ' Wakuja ' tu huko ' Mamtoni ' uwe na ' mashauzi ' ya kupitiliza?

Halafu Weekend hii ukitutangazia mpira naomba unipe majibu kwanini huwa unaichukia sana Timu yangu pendwa ya Liverpool? Imekukosea nini? Kuna chochote labda unawadai wana Liverpool labda tujichangishe tukulipe ili uwe unaacha kutunanga / kutusema? Marefarii wa EPL watuchukie na Wewe tena utuchukie hivi Sisi wana Liverpool tutakuwa Wageni wa nani? Mbona huwa ' huzichambi ' Chelsea, Manchester United na Arsenal ambazo Kiuhalisia ndiyo Timu mbovu kuliko hata Liverpool?

Nawasilisha.
Kama ww nimwanaume jitafakari .ila kama mwanamke sombaya .
 
Hiyo mikogo ndio usaalimukikeke sasa wala asiache inampendezea sana ndo mana wanaiga!.....hapana chezea kikeke....
 
Mtoa mada salim ana shule sasa wewe endelea na majungu kalaghabao wewe
 
Kamuambukiza ndugu yake Mmoja wa clouds tv anaitwa Harris kapiga dah Yule ndo anaboa sasa
 
Napenda the guy yale yote ayafanyayo akiwa live....huwa uso wangu unajaa bashasha.


Mimi ni Salim Kikeke nikiwa hapa Landannnnn.


Tunatofautiana
 
"Ulipoianza safari, walikutia Moyo, Unapoonesha mafanikio wanainua vikwazo, maadui ni wengi katika maisha yako, unachotakiwa baba SONGA MBELE...." in Bahati Bukuku's voice.
 
Mleta mada unataka atangaze kwa pozi za wasoma risala au TBC?

Acha chuki zisizo na maama!uchawi ndio unavyoanzaga hivi.....unamchukia mtu asiyekuhusu,nadhani utafurahi ukisikia ametimuliwa huko Ulaya au BBC swahili imehamia Ubungo.

Badilika kijana.
 
Hizo kazi za kuchamba na kuchambua watu ni za wa tu wa upande wa pili chukua maudhui tembea
 
Wewe mwenyewe mtoa maada ubadilike maana una tabia ya kujifanya kila kitu uko sahihi na kujifanya mjuaji sana na hupendi kukosolewa.
 
Kila nilipokuwa nikimtizama hasa anatangaza Taarifa ya Habari ya Runinga ambayo huwa inarushwa na Kituo cha Runinga cha Star tv kila Jumatatu hadi Ijumaa Saa 3 Kamili hadi Saa 3 Unusu nilikuwa nikidhani labda huwa ni bahati mbaya tu lakini kadri ambavyo nazidi ' Kumkodolea ' nimegundua ya kwamba huyu Mtangazaji ameshalewa pongezi / kongole.

Ewe Mtangazaji wa BBC Swahili Salim Kikeke hizi mbwembwe zako zifuatazo huwa unamfanyia nani?

  1. Taarifa ya Habari ikianza tu unaingia kwa mikogo huku ukidundika
  2. Taarifa ya Habari ikianza tu kila mara unatuzungushia zungushia Kalamu kwa mikogo
  3. Taarifa ya Habari ikianza tu ukienda Kukaa unapiga Nne zisizo na maana hadi unaboa
  4. Taarifa ya Habari ikianza tu na ukiwa katikati mara unaanza kujiangalia ulivyovyaa
  5. Taarifa ya Habari ikianza tu kuna muda huwa unaingiza ' mizaha ' isiyo na maana / tija
  6. Taarifa ya Habari ikianza tu huwa unapenda kutaka kuwa ' dominate ' wenzio hadi katika taarifa zao na nadhani huwa ' wanakumaindi ' ila pengine wanakustahi au wanakuogopa
  7. Taarifa ya Habari ikianza tu kuna muda unaonekana ' Kukonyeza ' vimacho vyako sasa Sijui nani kakuambia kuwa wote wanaotizama hiyo News Bulletin yenu ni Wanawake tupu
Salim Kikeke ambaye nilikuwa nikimfahamu wakati akiwa Tanzania akitangaza katika Media aliyokuwepo na hata Salim Kikeke ambaye alikuwa akitangaza alipokuwa chini ya ' Manguli ' akina Mzee Tido Dustan Mhando na Charles Nkwanga Hillary kabla hawajamuachia ' mikoba ' siyo huyu wa leo.

Yaani Mzee Charles Hillary pamoja na ' Uhenga ' wake wote lakini akisoma taarifa ya Habari ya Azam tv anakuvutia na unamwelewa vyema huku ukiwa na hamu ya kuzidi kumtizama akitiririka na akiserereka Kiusomaji wa Habari na akiwa hana hata chembe ya ' Mbwembwe ' na ' Mikogo ' kama ambavyo Wewe ( Salim Kikeke ) unafanya.

Badilika ' Comrade '.

GENTAMYCINE ni kama Bahari ambayo siku zote huwa haikai na uchafu hivyo kama ' utanimaindi ' kwa haya niliyoyadokeza hapa ' Jamvini ' poa lakini najua nimekuwa mmoja wa ' Mashujaa ' wa kuwa tayari kukupa ukweli ambao najua na nina uhakika ukiufanyia Kazi huenda ukaja kuwa bora zaidi.

Na cha Kushangaza kama siyo Kusikitisha hata hao ' Wazungu ' wenyewe wenye hiyo BBC yao wakiwa wanatangaza taarifa zao za Habari huwa hawana ' mbwembwe ' na ' mikogo ' kama yako na bado huwa tunawaelewa sana tu sasa inakuwaje Wewe ' Wakuja ' tu huko ' Mamtoni ' uwe na ' mashauzi ' ya kupitiliza?

Halafu Weekend hii ukitutangazia mpira naomba unipe majibu kwanini huwa unaichukia sana Timu yangu pendwa ya Liverpool? Imekukosea nini? Kuna chochote labda unawadai wana Liverpool labda tujichangishe tukulipe ili uwe unaacha kutunanga / kutusema? Marefarii wa EPL watuchukie na Wewe tena utuchukie hivi Sisi wana Liverpool tutakuwa Wageni wa nani? Mbona huwa ' huzichambi ' Chelsea, Manchester United na Arsenal ambazo Kiuhalisia ndiyo Timu mbovu kuliko hata Liverpool?

Nawasilisha.
Acha wivu unataka atangaze kama robot! kwani kuzungusha kalamu ni u sharo! acha wivu wa kishamba wewe.
 
Kweli Bongo bahati Mbaya, yani watu wamekalia Majungu tuuu na kutafuta upenyo wa kukosoa wenzao Duh
 
Wewe mwenyewe mtoa maada ubadilike maana una tabia ya kujifanya kila kitu uko sahihi na kujifanya mjuaji sana na hupendi kukosolewa.

Ukimaliza naomba uniambie tafadhali ila fahamu tu ya kwamba ukiona GENTAMYCINE ' anakukosoa ' jua kuna mahala umekosea / umekengeuka hivyo jitathmini. Nilichobarikiwa pekee na Mwenyezi Mungu ni kuwa na ' maono ' na uwezo wa kutosha kwa kujua kutumia vizuri ' Ubongo ' wangu niliopewa na Maulana katika kusaidia mambo ya Kijamii. Siku zote ukiwa Ngumbaru / Mjinga na una IQ ndogo kama ' Punje ' ya mchele hutoweza kumuelewa ' Purely Talented and Charismatic Fella '.
 
Ukimaliza naomba uniambie tafadhali ila fahamu tu ya kwamba ukiona GENTAMYCINE ' anakukosoa ' jua kuna mahala umekosea / umekengeuka hivyo jitathmini. Nilichobarikiwa pekee na Mwenyezi Mungu ni kuwa na ' maono ' na uwezo wa kutosha kwa kujua kutumia vizuri ' Ubongo ' wangu niliopewa na Maulana katika kusaidia mambo ya Kijamii. Siku zote ukiwa Ngumbaru / Mjinga na una IQ ndogo kama ' Punje ' ya mchele hutoweza kumuelewa ' Purely Talented and Charismatic Fella '.
Huna lolote wivu tu umekujaa
 
Huna lolote wivu tu umekujaa

Kutuma ' post ' mbili na ambazo zinafanana tena mfululizo ni Kielelezo tosha cha Upungufu mkubwa wa Madini ya Akili ambayo Mwanadamu aliyekamilika anapashwa kuwa nayo.
 
Back
Top Bottom