Kama Mama anazunguka duniani Halali Usingizi anatafuta fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo ya Jamii. Kama fedha zikipotea Kwa majibu wa repoti ya sieijii tunaambiwa watu wamekula fedha za mama. Kama mama anawataka viongozi na watumishi wale kwa urefu wa laana. Kama Lucas Mwashambwa kila siku anasema mama ametifikia wengi tububujikwe na machozi. Kama Hakuna mtu anayewajibishwa kwa rushwa na ubadhirifu wa mali za umma Licha ya mambo kuelewa bayana kila uchwao. Nani ataona na kuwa na sense of ownership ya nchi yake (nchi ni ya mama) Nani ataona umuhimu wa kukupa kodi wakati tupo mtu asiyelala (mama anayetafuta) fedha kwa ajili yetu! Siku wananchi walikua wajibu wao Kwa serikali na serikali ikajua wajibu wake Kwa wananchi, Na ulipaji kodi ukaakisi maendeleo ya utoaji huduma kwa Jamii na serikali ikatofautisha kuongeza kodi, kupanua wigo wa kodi na kuongeza walipa kodi tunakua tumepiga hatua! Usisahau kodi ya jengo imeongezeka na Hakuna tena taarifa juu ya tozo na matumizi yake kila mwezi! (rushwa ya takwimu)Raia tuna haki na dhima ya kukumbushana wajibu wetu wa kulipa kodi....
Inawezekanaje tukauendesha uchumi tuutakao kwa WALIPA KODI MILIONI 3 kati ya sisi raia milioni 62?!!!
Tunataka nchi itufanyie....imeshatufanyia sana mathalani AMANI NA UTULIVU TULIONAO tukiendelea kubangaizia shughuli zetu bila bugdha kama Somalia ,Burundi ,Rwanda na Sudan....
Swali....
Je tumeifanyia nini NCHI YETU ?!!
Je tunaifanyia nini NCHI YETU ?!!
Hapa ndipo ilipo MIILI YETU tukiwa hai ,na makaburi yetu tukizikwa na MIZIMU YETU baadaye haitozungukia Uganda ,Kenya wala Malawi bali nyumbani Tanzania[emoji7]
#Tutafakari
Wakiongozwa na traffic policeNa organs za serikali zumekuwa vitengo vya kukusanya pesa
Na hatujui wanalipwa kiasi gani na kwanini, kitakachofuata watalipwa wenza wa wabunge na Hakuna atakayehoji sababu fedha ni za mamaUnafikir wenza wa Marais watalipwa na nini
Hoja dhaifuUnafikir wenza wa Marais watalipwa na nini
Ni upuuzi na uongo kusema Wana kwepa kuwekeza wakati kiuhalisia wanawekeza.Huyu Salim Kikeke na Redio yao hii Crown Media wako juu sana na wanakuja kwa kasi kubwa kwani interview zao zimeenda mbali.
Sikiliza huu mjadala mpaka mwisho.
View attachment 3080039
DuuuhUkiwekeza kwenye hotel kuna kodi 52
NJia siyo kumkwamua huyu aliyekuwepo kwenye mfumo ,waangalie njia ya kupanua wigo wa kodi, unaweza kuweka kupitia ununuzi wa simu, line ya simu au umeme ili kila mtu anayeishi tanzania alipe kodiRaia tuna haki na dhima ya kukumbushana wajibu wetu wa kulipa kodi....
Inawezekanaje tukauendesha uchumi tuutakao kwa WALIPA KODI MILIONI 3 kati ya sisi raia milioni 62?!!!
Tunataka nchi itufanyie....imeshatufanyia sana mathalani AMANI NA UTULIVU TULIONAO tukiendelea kubangaizia shughuli zetu bila bugdha kama Somalia ,Burundi ,Rwanda na Sudan....
Swali....
Je tumeifanyia nini NCHI YETU ?!!
Je tunaifanyia nini NCHI YETU ?!!
Hapa ndipo ilipo MIILI YETU tukiwa hai ,na makaburi yetu tukizikwa na MIZIMU YETU baadaye haitozungukia Uganda ,Kenya wala Malawi bali nyumbani Tanzania[emoji7]
#Tutafakari
tanzania ni linchi linajiendea bila kichwa.Kodi gani wahuni tu kama walivyo wafanyabiashara wa Kitanzania.
Tanzania watu hawalipi kodi sio wazawa wala wageni,na wachache wanaolipa zinaishia mifukoni mwa Officers wa TRA na Politicians wakiwemo viongozi wenu wakuu wa Nchi.
Ni mjinga na mpumbavu pekee anaweza sema Tanzania kuna msururu wa kodi.
Sio kwamba wewe ndio una matatizo ya uelewa? Unaona kabisa anamuhoji Kafulira na anatoa majibu ya nini Serikali imefanya then unaongea shit Sasa wewe ni mzima kweli?tanzania ni linchi linajiendea bila kichwa.
Lakini bila wao tunaweza?We couldn"t care less about foreign investors. We have never benefited from them.
We don't give a flying fvck about wawekezaji.
Hujui kitu,Dangote Ali work under mazingira maalumu aliyohakikishiwa na JK na alipokuja Mwendazake alitaka kufunga kiwanda.Hamna wawekezaji hapo ni matapeli tu hao.
Serious investors wanafahamika tu.
Mbona Dangote kaja na kujenga kiwanda chake anafanya biashara na kupata faida??
Sioni haja ya kubadili sheria zetu ili kuruhusu malaghai na matapeli yaje kutuibia.
Nini kifanyike kupanua wigo wa walipa kodiNikweli Tanzania watu hawalipj nakubaliana na wewe,
Walipa kodi wako mi3 kati ya watu 62m
Kweli tupu rushwa na wizi tupuHuyu Salim Kikeke na Redio yao hii Crown Media wako juu sana na wanakuja kwa kasi kubwa kwani interview zao zimeenda mbali.
Sikiliza huu mjadala mpaka mwisho.
View attachment 3080039
Upo sahihi uwekezaji wetu unategemea na Rais aliyepo madarakani badala ya kuwa na sheria rafikiHujui kitu,Dangote Ali work under mazingira maalumu aliyohakikishiwa na JK na alipokuja Mwendazake alitaka kufunga kiwanda.
Ili zijiendeshe lazima zikusanye mapatoNa organs za serikali zumekuwa vitengo vya kukusanya pesa
Wanajua pesa za wajinga zipoUnafikir wenza wa Marais watalipwa na nini
Nadhani kodi iangaliwe upyaNini kifanyike kupanua wigo wa walipa kodi
Ni Kwa sababu hatuna sera ya Uchumi na siasa inayoeleweka.Upo sahihi uwekezaji wetu unategemea na Rais aliyepo madarakani badala ya kuwa na sheria rafiki