We unafanya biashara gani mkuu?Kodi gani wahuni tu kama walivyo wafanyabiashara wa Kitanzania.
Tanzania watu hawalipi kodi sio wazawa wala wageni,na wachache wanaolipa zinaishia mifukoni mwa Officers wa TRA na Politicians wakiwemo viongozi wenu wakuu wa Nchi.
Ni mjinga na mpumbavu pekee anaweza sema Tanzania kuna msururu wa kodi.
Hivi kwa utaratibu wa Muungano wa Tanganyika & Zanzibar, mikopo si ni suala la Muungano...?Huyu Salim Kikeke na Redio yao hii Crown Media wako juu sana na wanakuja kwa kasi kubwa kwani interview zao zimeenda mbali.
Sikiliza huu mjadala mpaka mwisho.
View attachment 3080039
Yuko vizuri sana jamaaJamaa hamhoji mtu kwa matarajio ya teuzi fulani, anapasua FACT tupu!
Leo kwa mara ya kwanza umeandika point hapa JfHilo la sera ni sahihi ambazo zinaelewa na siyo huruma ya Rais, tutegeneze sheria zetu ziwe rafiki
Kweli kabisa kabisaHuyu Salim Kikeke na Redio yao hii Crown Media wako juu sana na wanakuja kwa kasi kubwa kwani interview zao zimeenda mbali.
Sikiliza huu mjadala mpaka mwisho.
View attachment 3080039
Inasikitisha sana
Daah sawa😀😀Kweli kabisa kabisa
Zipi hizo na ni lini?Hivi kwa utaratibu wa Muungano wa Tanganyika & Zanzibar, mikopo si ni suala la Muungano...?
Na kwamba JMT ikikopa kiasi chochote basi 4% ndiyo mgawo unaopaswa kwenda Zanzibar na 96% inabaki Tanganyika....?
Imekuwaje 400B zote zimeenda Zanzibar....??????
Lini sijawahi kuandika point? mkuu sema huwa husomi vizuri word by wordLeo kwa mara ya kwanza umeandika point hapa Jf
Hizi takwimu ganiNikweli Tanzania watu hawalipj nakubaliana na wewe,
Walipa kodi wako mi3 kati ya watu 62m
Mkuu, mie pia nimeshangaa mno.Hapa tu jf ukiangalia comment za watu ndo utajua nchi hii ina machizi kibao.Acha viongozi wale maisha km wananchi wenyewe ni machizi kiasi hiki 🥱🥱.
Hivi mnao sema tz wanao lipa kodi ni wachache vichwani mwenu mna mavi?
Kodi za Majengo,mitandao ya simu na bidhaa tunazo nunua kama maji bia nk..hazijakatwa kodi ama nyie kodi mpaka mpigiwe hodi lipa kodi ndo mjue mnalipa kodi?
Hapo tu unatumia bando hilo bando umelilipia koditayari ..sasa kodi mnazo taka ndo mjue mnalipa kodi ni zipi labda ...Eti wanao lipa kodi ni milion tatu dah ??? Acha tupigwe tu akili hatuna km kodi ya gari tu ni sawa na bei ya gari bado mtu anaibuka anasema tz hatulipi kodi,🥵Hebu ninyamaze mie.
Ila ni kweli jamaa anauchama sanaLini sijawahi kuandika point? mkuu sema huwa husomi vizuri word by word
Uko sahihibila ya shaka wewe ni mtumishi wa uma, muna chuki sana na wafanyaBiashara
Hii IPO deep sana ila kuielewa wala hauhitaji D2 za Kiswahili na Hesabu Hesabu umekula msuaki basi TOA Hesabu weka UraiaKodi gani wahuni tu kama walivyo wafanyabiashara wa Kitanzania.
Tanzania watu hawalipi kodi sio wazawa wala wageni,na wachache wanaolipa zinaishia mifukoni mwa Officers wa TRA na Politicians wakiwemo viongozi wenu wakuu wa Nchi.
Ni mjinga na mpumbavu pekee anaweza sema Tanzania kuna msururu wa kodi.
Sio chuki ni ukweli mchungubila ya shaka wewe ni mtumishi wa uma, muna chuki sana na wafanyaBiashara
Kikike namkubali sanaHuyu Salim Kikeke na Redio yao hii Crown Media wako juu sana na wanakuja kwa kasi kubwa kwani interview zao zimeenda mbali.
Sikiliza huu mjadala mpaka mwisho.
View attachment 3080039