miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
imekula kwakeWaganga wa kienyeji washenzi sana. Wamemuaminisha bwana mdogo kuwa yeye ni mkubwa kuliko msanii yeyote duniani. Maskini ya mungu na yeye kayachukua hivyo hivyo. Busara pekee iliyobaki ni yeye kukubali kuwa alifanya aliyoyafanya tayari apishe wenzie sana.
Haaahahj nyie sindio mlikua mnatukana salaam kua n mchawi? Leo hii salam katoa ukweli sasa yaishe si ndio hahaha jama team kibaMkuu weka timu pembeni imagine ungekuwa ni ww cha muhimu sallam ameclarify baasi kiba naye awe muungwana kuelewa na kuomba radhi au unaniambiaje mdau
Salaam ameamua kumuumbua kbsa alikiba hahahaha alikiba ana matatzo jokate amepata bogusSijapendezwa na alichokifanya Sallam,angemfungulia kesi ya madai na angeshindwa kudhitisha madai yake basi angelipa pesa nyingi ambayo ingemuuma na ingemfanya awe makini na matamshi yake siku nyingine, lakini hapo ni kama alitaka kiki na ameipata.
Na naon itakua mwsho kwake kufanya shoo kenya hehehe yeye atabak kuwa suprise tuKiba kaonesha chuki ya wazi kabisa,hajafanya poa kbsa,managers walikuwa wengi but kam point wa diamond tena negatively akat sio kweli...huyu jamaa anajishushia sana.
Kuna ukweli kwenye kauli yako ndugu.Alikiba nadhani vinasaba vyake vinafanana Na vya Yule Prof.wa chama Fulani hivi!
HAHAHAHAHAH umenipasua mbavu...duuu jf raha tupu cc Evelyn Salt binti kiziwiUmemuona salaam backstage unalalamika ungemuona scorpion au mwalimu mwesigwa frank si ungekimbia mbio kama umekanyaga moto
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] JF bwana! Anyways tumsamehe kijana wetu kiba jamani, sio mtu wamajigambo, hana maringo, hana show off, ana vingi ila hapendi kuvionesha, bottom line ana roho nzuri sana heheh.HAHAHAHAHAH umenipasua mbavu...duuu jf raha tupu cc Evelyn Salt binti kiziwi
Tuwekee angalau ka clip tupate chakusema basi. Au unadhani sote tumechelewa kuja mjini.Naona comment nyingi ni za ki team na sio positive nilitegemea kuwa watu mngetoa ushauri unaojenga ili kufanya wasanii wetu warekebishe pale palipo na tatizo but naona ni discouragement zaidi. Kiba amekosea kama wasanii wengine ambavyo hufanya kwani hata Mondi kuna fiesta moja iliwahi fanyika humu nchini na kalalamika kuwa kafanyiwa ushirikina baada ya kuona washabiki hawa respond vizuri.
Nimekusoma mkuu lakin pengine alifikiria hilo akaona atapoteza mda wake kwenye mambo ya kesi ukizingatia ni meneja na ana ratiba zinazobana kama meneja wa msanii mkubwa kama diamondSijapendezwa na alichokifanya Sallam,angemfungulia kesi ya madai na angeshindwa kudhitisha madai yake basi angelipa pesa nyingi ambayo ingemuuma na ingemfanya awe makini na matamshi yake siku nyingine, lakini hapo ni kama alitaka kiki na ameipata.
ππππUmemuona salaam backstage unalalamika ungemuona scorpion au mwalimu mwesigwa frank si ungekimbia mbio kama umekanyaga moto
We noma hahaha!Umemuona salaam backstage unalalamika ungemuona scorpion au mwalimu mwesigwa frank si ungekimbia mbio kama umekanyaga moto
Naona comment nyingi ni za ki team na sio positive nilitegemea kuwa watu mngetoa ushauri unaojenga ili kufanya wasanii wetu warekebishe pale palipo na tatizo but naona ni discouragement zaidi. Kiba amekosea kama wasanii wengine ambavyo hufanya kwani hata Mondi kuna fiesta moja iliwahi fanyika humu nchini na kalalamika kuwa kafanyiwa ushirikina baada ya kuona washabiki hawa respond vizuri.
Kiba ni muhimu aombe radhi washabiki wote,pia atafute meneja atakae simamia shughuli zake na awe anamfundisha ya kuongea,kwani ana kiwewe cha u super star,