Sallam athibitisha Harmonize kujiondoa WCB

HIvi mondi atakua na miaka mingapi sasa ?
 
Music wa Nigeria na Tanzania ni mbingu na ardhi.
 
Sallam akikuchukia huvuki border... Ngoja tuone huo ni mstar ktk wimbo mmoja wa singeli
 
Huoni haibu kuleta story za kutunga na ujuaji mbele ya watu waliokuzidi umri na maarifa ?
[emoji736] Aibu
[emoji735] Haibu


Kama hujui kuandika lugha yako uliyozaliwa nayo utaweza kujua mambo yaliyo nyuma ya pazia swala wewe...



Certified Idiot!
 
Music wa Nigeria na Tanzania ni mbingu na ardhi.
Na sababu hasa ni hiyo! Badala ya kutaka watu wavunje miiko na kushindana na wanigeria mnataka muendelee kubweteka huku mkijisemea kauli zenu hizo za kizembe na kujinung'unisha eti "wanigera wametuzidi mbali sana"

Dawa ni kuthubutu na sio kulamba miguu ya watu.

Mbona Diamond mwenyewe alitolewa na Davido kimataifa lakini sasa hivi hawaelewani vizuri kama mwanzo? Unafikiri ni kwa nini?

Chagua moja uendelee kuelewana na aliyekutoa ukimlamba miguu ubaki hapo hapo au mtofautiane ili upige hatua zaidi.

Nadhani umenielewa vizuri sana
 
Nalionaga linavyotambishia kupata pesa nyingi kupitia forex.
Hahaha Tuwekeane screen shot za Bank Balance Mimi na wewe ..



You're Such a certified Poor .. You'll Frankly Die Poor .. We piga domo hela nimeyolaza leo utaipata after 4 months kama unafanya kazi ila kama unaishi na kulala kwenye masofa ya shemeji yako endelea kumsihi Dada yake aongeze speed ya kiuno upate kufugwa kama Kuku la kichina.



Utakufa fukara mbwa wewe.
 
HEBU FUATANA NA MIMI KATIKA ULIMWENGU WA KIROHO
~Kitendo cha Kiba kuachia seat na kumkimbia Harmonize msibani katika ulimwengu wa kiroho kinatafsiriwa kama kumtawaza rasmi kondeboy kuwa king mpya na mshindani namba moja wa MONDI (master wa TAKEU:ikumbukwe Mondi ni disciple wa Mr. Nice aliyekuja kuiweka katika vitendo style ya TAKEU na ikaproove kuwa mbeleko kubwa katika music industry)
~Matukio haya ya wasanii wakubwa kuwatawaza wasanii wadogo kuwa warithi wao mara nyingi huwa hayakamatwi na camera, Tukio kama la kondeboy liliwahi kumtokea Taylor swift (American sweetheart) akiwa stejini akatawazwa na queen Madonna na kuachiwa kiti cha umalkia.
~Ni mambo mawili tu yanayotegemewa kiweza kutokea katika ulimwengu wa kiroho :
> Kondegang kuwa kubwa kuliko Wcb
AU
>Mwisho wa kondeboy

Somo la kujifunza hapa ni kutokuiogopa kesho yako, kulikabili jambo hata kama linaonekana haliwezekani, mmakonde licha ya kuwa sio msomi lakini ana ujasiri huu ambao wasomi wengi waajiriwa licha ya kuwa na mamilioni bank wameshindwa kujiajiri wenyewe na kuwa mabosi wa kazi zao.
 
AY, na ndio ilikua project ya kwanza ya Sallam, kumbuka Sallam kawasimamia Navy Kenzo, WCB na AY, angalia mafanikio yao kisha niulize swali lingine...
Si kweli kama Sallam alikua manager wa AY toka anaanza Sallam ameanza nae 2016. Na sidhan kama walikaa nae hata mwaka ila ni kwa project fulan huwa anajitegemea kupitia kampuni yake ya unit entertainment na wakishirikiana na FA.
 
Si kweli kama Sallam alikua manager wa AY toka anaanza Sallam ameanza nae 2016. Na sidhan kama walikaa nae hata mwaka ila ni kwa project fulan huwa anajitegemea kupitia kampuni yake ya unit entertainment na wakishirikiana na FA.
Hujanielewa Mkuu, nimemanisha kwa Sallam msanii wa kwanza kumsimamia kazi zake (hata kama ni baadhi) alikua AY, na alimfikisha level za International
 
HIvi mondi atakua na miaka mingapi sasa ?
hawa wasanii wetu kusema umri hadharani kwao ni dhambi...siri wanaijua wenyewe sijui wanaogopa kutaja umri wakidhani wao ni wacheza soka wataacha sajiliwa.. Wamesahau usajili wao ni mpaka Koo ligome kufunguka.

Ila ukiwauliza miaka yao wote wako 28 - 35..hawazidi....washanshinda tabia.
 
Swadakta; kwa asiejua watu wa huku kusini atasema unalopoka ila mm pia mmakonde natoa ushuhuda ni kweli watu wa huku wana ushikaji fake km hawana wanajishusha utawaonea huruma ila siku akifanikiwa nakuambia huruma yako itakuponza si tuna ujanja wa kukulupuka na kujiona zaidi kwa Tanzania hii naamini sisi ndo mabingwa wa kulipa wema kwa ubaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…