Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Nampongeza sana,ndivyo inavyotakiwa kwa mpambanaji yeyote.Cha muhimu ni kujipanga tu.Unakuta mtu ameajiriwa tangu abalehe hadi uzeeni...yeye kuita wenzake boss tu.Inatakiwa ifike mahali na wewe ujisimamie mwenyewe uwe CEO kwenye kampuni yako.Nampa pongezi sana na si ajabu akafika mbali zaidi,cha muhimu ni mkakati aliojiwekea.