Sallam athibitisha Harmonize kujiondoa WCB

Hujanielewa Mkuu, nimemanisha kwa Sallam msanii wa kwanza kumsimamia kazi zake (hata kama ni baadhi) alikua AY, na alimfikisha level za International
Samahani Mkuu, AY ni msanii wa kimataifa?
Unaweza kuweka vigezo hapa?
 
Harmonize amesitisha ushkaji na WCB au amesitisha mkataba na WCB??

Tuanzie hapa kwanza.
 
Mitizamo ya namna hii inaweza ikawa sawa ama sio sawa! na hawa ni baadhi ya wale watu wanaopata taabu wakiwa makazini lakini wanasema nitakwenda wapi bora nikomae hapa hapa mwisho wasiku wanapelekwa mirembe au wanajikuta wamejinyonga vichakani kwa kuvumilia stress! Jitume sema naweza pambana mwenyewe bila fulani maisha yataenda vile ulivyokadiriwa na juhudi zako pia! Wake up !!
 
Hujanielewa Mkuu, nimemanisha kwa Sallam msanii wa kwanza kumsimamia kazi zake (hata kama ni baadhi) alikua AY, na alimfikisha level za International
Kwa wimbo upi unamaanisha mkuu alimfikisha international na ni lini?
 
Itafute speak with your body
Kwa wimbo upi unamaanisha mkuu alimfikisha international na ni lini?
Sujawahi ona collable kali kama ile kibongobongo,,unaweza kusema nibdude la usa hivi kumbe ni ambwene
 
Itafute speak with your bodySujawahi ona collable kali kama ile kibongobongo,,unaweza kusema nibdude la usa hivi kumbe ni ambwene
Si kweli unaizungumziaje African beauty ya Diamond au ule Diamond ameshirikisha Neyo na huo sio wimbo wa kwanza wa AY international
 
Kwa wimbo upi unamaanisha mkuu alimfikisha international na ni lini?
Inaonekana sio mfatiliaji wa mambo ya bongo flavor, ok kukusaidia kuna Uzi humu utafute Sallam alifanya interview na Champion utaelewa nachokwambia
 
Inaonekana sio mfatiliaji wa mambo ya bongo flavor, ok kukusaidia kuna Uzi humu utafute Sallam alifanya interview na Champion utaelewa nachokwambia
Mbona ni logic ndogo mkuu kama unajua unajibu na mim nikupe facts ninazozifahamu hata Diamond anajua ni nani alimconnect level ya kiafrica hadi international wala hawezi kukuambia ni Sallam huyo anatumwa tu nenda pale kafanye hiki watu tayari washaset mambo
 
Matajiri au wenye hela huwa hawafanyi upumbavu kama huo sana sana utawaona kwenye ku spend pesa zao sio kuonyesha figures za kupakua mtandaoni kama unavyofanya mpuuzi wewe

You are a certified mpumbavu.
 
Unaweza kuthibitisha kwamba Diamond na Davido hawaeleweni au umeokota maeneo ya mtaani ya kuyaleta hapa kama yalivyo.
 
Hii comment nahisi kama imeandikwa kunilenga mimi mkuu. Kuna mambo umeandika hapo inabidi niyafanyie kazi.
 
Me napenda tu kumtakia kila la kheri Harmonize, kwa safari yake nyingine anayotaka kuianzisha katika mziki wake......nje ya WCB.

And Infact naona hajafanya vibaya kutaka kutoka pale WCB...so tuendelee tu kusupport kazi zake.
 
Fact.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…