Sallam athibitisha Harmonize kujiondoa WCB

Sallam athibitisha Harmonize kujiondoa WCB

pale wasafi kuna watu watatu au unaweza kuuita utatu mtakatifu, ambao ni sallam, babu tale na saidi fella.

ukiondoa ushirikina wao, fitna na propaganda zao ambazo kwa mda mrefu wamekuwa wakizitumia ku monopolize music industry ya tanzania, kazi nyingine kubwa pale wasafi ni kujineemesha kwa kupitia wasanii walio chini ya lebel ya wasafi.

unakuta kwa mfano malipo ya show moja ya rayvanny, hao wote watatu kila mmoja ana parcent yake na hajaitolea jasho. nampongeza sana harmonize kwa kuachana na hao wapuuzi watatu. na ninamsifu kwa ku sign chini ya jembe jembe.

najua sallam na wapuuzi wenzie hawatakubali kushindwa kirahisi, lazima watajiribu kutaka kumvurigia deal lake la harmonize ila hawataweza maana jamaa pia ni born town, ana connection kubwa na pesa ya kula anayo.

hawa wapuuzi watatu kiboko yao alikuwa marehemu ruge mutahaba the master minder. rest in peace ruge.
Duuh kama ndio hivi bora ajitoe kwnye iyo ndoa haramu
 
Dua la kuku........... kwani mtu akikua c anaondoka kwa wazazi wake mbona mmemuwekea kinyongo au lebo ndo inamtegemea yeye akiondoka kuna mkwaja utakata???
Kwa hiyo unafananisha kukua kwa wazazi na kukua kimziki?
 
Kesheshe NI paleee pa kuvunja mkataba. Masharti yako vipi. Je? Waliomshawishi wataweza kumpa Kila kitu Kama WCB.? Walinzi. Kutafuta shoo kulabo za njee. VIZA za USA na UK kiraisi Kama zamani.... Matangazo bila yamtonyo
 
Mkuu achana nae huyo, hawa ndo huwa wanaamini mchezaji ni mkubwa kuliko team... Watu wanaoangalia final product (music) wanaweza kuona kama Harmonize ni mkubwa, ila kiuhalisia bila management ya wcb huyo Harmonize angeendelea kuuza mitumba tandale hadi leo.. Harmonize kakosea sana kubadili management, Kina Sallam hawana issue nyingine kubwa za kuwaingizia kipato zaidi ya kusimamia wasanii wao, wanaspend time yao 100% kwenye music wa wasanii wao, ila hiyo management ya sasa ya Harmonize ni watu ambao tayari wana channel zao za pesa, watakua na muda kidogo wa kusimamia msanii wao, na hapo ndo Harmonize atakapoanza kupotea.. Harmonize Hawezi kuwaingizia pesa zaidi ya wanazoingiza sasa kwenye Miradi yao.
Hakika mkuu! Macho yetu
 
Wewe ni kati ya wasioujua muziki lakini una ujuaji mwingi ilhali huna ulijualo.
Unasema Lavalava sio msanii na nyimbo zake hazieleweki? Mimi sio shabiki wa hiyo WCB yenu ila Lavalava ndio msanii wangu bora pale WCB na hizo nyimbo zake unazosema huzielewi ndio nimejua hujui muziki.

Unathubutuje kusema mtu mwenye vibao vitamu kama Bora Tuachane, Utatulia, Go Gaga na wimbo wangu bora wa muda wote kwa Lavalava, Kilio sio msanii?
Wewe jamaa umejua kuniharibia asubuhi yangu!
Ushasema kwako ndo bora sasa wataka kutuaminisha tumuamini wakati tunamuona anachokifanya ni bure na anatumia mbeleko ya WCB.

Wasanii WCB ni Mondi,Harmonize na Rayvanny waliobaki bado sana ndo wanajaribu kuingia.
 
nani aliyemfanya apate hicho kiduchu ?
hivi mmesahau mmakonde alikua house girl wa domo ?
Ni Sawa na pia si kigezo cha kuendelea kupata hiko kiduchu mwache akajaribu pengine maadam ameondoka vizuri atarudi tu kuomba kuingia tena au akamwombe hata Vanessa Mdee au Nandy kushirikiana nao
 
Umehitimisha vibaya mkuu
Maamuzi ni yake kwani kuna wasanii wengi duniani huwa wanajitoa na kufanya kazi na wengine
Pia kuna wengine huwa wanaamua kuwa peke yao kama kina Leonel Richie na Erick Clapton au Phil Collins na kufanikiwa zaidi
 
Dua la kuku........... kwani mtu akikua c anaondoka kwa wazazi wake mbona mmemuwekea kinyongo au lebo ndo inamtegemea yeye akiondoka kuna mkwaja utakata???
Mambo yakiwa magumu anaruhusiwa kurudi?
 
nani aliyemfanya apate hicho kiduchu ?
hivi mmesahau mmakonde alikua house girl wa domo ?
Wabongo wakipata wasahau ulikowatoa
N kama kumsomesha mwanamke
 
Amenikumbusha tekno aliacha mtengenezea ngoma davido akaamua kuingia front kuimba ......leo hii ni historia
Yani watu wanashindwa kujifunza kulingana na makosa
 
Ni wakati wa Konde boy kula kwa jasho lake,

Kila jema limtangulie In Shaa Allah/
Anatakiwa kupigana sana hakuna mtelezo tena,

Kutofanya vizuri kwa project yake na Chilla aichukue kama tahadhal ya kilichopo mbele yake.
Mzee baba m cina upande Lkn huwa waswahili wana sema dalili ya mvua n mawingu km anaweza kujisimamia mwenyewe sio mbaya Lkn inabid acheze na upepo
 
Kama mtu humjui ucjifanye unamjua sana,kwa kigezo gani mpaka uniite dogo! Anyway yatakuwa sio makosa yako na kama nisingekuwa naijua nisingeandika nilichoandika!
Yo still a little popy on this dude , take some pills.
 
Back
Top Bottom