Sallam SK: Mandonga usisindikize watu kwenye utajiri

Sallam SK: Mandonga usisindikize watu kwenye utajiri

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
IMG-20230115-WA0000.jpg


Baada ya kuwa na pambano lenye mafanikio supastaa namba tatu wa sport Tanzania Karim Mandonga amepewa ushauri wa bure na Sallam.

Hii ni baada ya habari za nyuma ya pazia kuwa Ndonga kalipwa kiduchu licha ya kufanya pambano lenye ecosystem ya zaidi ya mil 400 za kibongo na yeye akiwa ndio ameibeba show.
 
View attachment 2481966

Baada ya kuwa na pambano lenye mafanikio supastaa namba tatu wa sport Tanzania Karim Mandonga amepewa ushauri wa bure na Sallam.

Hii ni baada ya habari za nyuma ya pazia kuwa Ndonga kalipwa kiduchu licha ya kufanya pambano lenye ecosystem ya zaidi ya mil 400 za kibongo na yeye akiwa ndio ameibeba show.
Atapiga hela kwenye uchaguzi, CCM wanamlia timing tu
 
View attachment 2481966

Baada ya kuwa na pambano lenye mafanikio supastaa namba tatu wa sport Tanzania Karim Mandonga amepewa ushauri wa bure na Sallam.

Hii ni baada ya habari za nyuma ya pazia kuwa Ndonga kalipwa kiduchu licha ya kufanya pambano lenye ecosystem ya zaidi ya mil 400 za kibongo na yeye akiwa ndio ameibeba show.
Mandonga anachojali ni sifa na umaarufu. Pesa kwake sio muhimu [emoji23]
 
View attachment 2481966

Baada ya kuwa na pambano lenye mafanikio supastaa namba tatu wa sport Tanzania Karim Mandonga amepewa ushauri wa bure na Sallam.

Hii ni baada ya habari za nyuma ya pazia kuwa Ndonga kalipwa kiduchu licha ya kufanya pambano lenye ecosystem ya zaidi ya mil 400 za kibongo na yeye akiwa ndio ameibeba show.
Huyu watu wanamtumia wanajipigia hela tu asipokuwa makini ataishia kupewa gari crown tu
Amulize pierre liquid

Ova
 
Mandonga katunufaisha wengi

Fikiria kale kamuda unamwambia faza house wewe ni zaidi ya mandonga mtu kazi nini kinatokea💣💣
 
Back
Top Bottom