Puncler
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 1,386
- 1,888
Sana, amefanya promotion kubwa sana ambapo alistahili ile promotion iwe na mkataba tofauti na ule wa pambano.Jamaa anafanya mpka kazi za promotion na hajui anatakiwa alipwe coz hiyo ni nje ya ring.
As the matter of fact promotion aliyoifanya alipaswa kulipwa zaidi ya alivyolipwa kwenye pambano.