kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Hivi piere liquid alikua ni msanii wa sanaa gani?Huyu watu wanamtumia wanajipigia hela tu asipokuwa makini ataishia kupewa gari crown tu
Amulize pierre liquid
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi piere liquid alikua ni msanii wa sanaa gani?Huyu watu wanamtumia wanajipigia hela tu asipokuwa makini ataishia kupewa gari crown tu
Amulize pierre liquid
Ova
Umesema mmoja nami namtaja Nandy.Nitajie mmoja .narudia mmoja aliefanikiwa n'a ruge zaidi ya kinangwea kufa mapunda
Mlevi mmoja tuHivi piece liquid alikua ni msanii wa sanaa gani?
Hata tyson alikua anakwepeshwa kupigana na kina lewis na evander mda mref tu ili asiharibiwe career yake... Ma manager wanajua wnaachofanya.. ndomana hata mwakinyo hakubal kupigana hovyo hovyo. Its a showbizzMimi ninamkubali Mandonga kwenye uchaguzi tu wa mabondia anaotaka kupambana nao!
Siku zote kipaumnele chake ni wale mabondia wazuri wa zamani/wenye umri mkubwa kama yeye.
Mimi namtaja Barnaba namwongezea na Msechu kama kifungashioUmesema mmoja nami namtaja Nandy.
Umaaruf wake kupiga tungiHivi piece liquid alikua ni msanii wa sanaa gani?
Hivi piece liquid alikua ni msanii wa sanaa gani?
Kichwa wapi babu,mbona wew umeweza kuwa na wazo km hilo la kumsimamia Ndonga boy? exposure na akili ni vitu viwili tofauti.Angekuwepo marehemu Ruge angekuwa ashaingia front kumsimamia Mandonga ili wote wanufaike jamaa alikuwa kichwa sana.
Chama sio mbongo. Unaniangusha kamandaChama,feitoto
Kweli kabisaMimi ninamkubali Mandonga kwenye uchaguzi tu wa mabondia anaotaka kupambana nao!
Siku zote kipaumnele chake ni wale mabondia wazuri wa zamani/wenye umri mkubwa kama yeye.
Nani hadi ruge anakufa aliambulia ngoma tu hata Toyo hakuwa nayo.nandi kapiga hela mwaka baada ya kufa jamaaUmesema mmoja nami namtaja Nandy.
Journalists wengi wa Kenya wanadai karibu 50% waliingia kumuona Mandonga bado ikawa kuona live walikuwa wanalipa pia, tatizo ni kwamba pambano lake lilikuwa ni la kusindikiza ila ikabadilishwa baadaye baada ya kuonekana media zote kuanzia KTN mpaka online TV hype ilikuwa ni Mandonga ndipo ikabadilishwa na pambano la Mwamba wa SUGUNYO kuwa ndiyo main event.View attachment 2481966
Baada ya kuwa na pambano lenye mafanikio supastaa namba tatu wa sport Tanzania Karim Mandonga amepewa ushauri wa bure na Sallam.
Hii ni baada ya habari za nyuma ya pazia kuwa Ndonga kalipwa kiduchu licha ya kufanya pambano lenye ecosystem ya zaidi ya mil 400 za kibongo na yeye akiwa ndio ameibeba show.
1. Haji ManaraNamba moja na mbili ni nani?
Jamaa anafanya mpka kazi za promotion na hajui anatakiwa alipwe coz hiyo ni nje ya ring.Journalists wengi wa Kenya wanadai karibu 50% waliingia kumuona Mandonga bado ikawa kuona live walikuwa wanalipa pia, tatizo ni kwamba pambano lake lilikuwa ni la kusindikiza ila ikabadilishwa baadaye baada ya kuonekana media zote kuanzia KTN mpaka online TV hype ilikuwa ni Mandonga ndipo ikabadilishwa na pambano la Mwamba wa SUGUNYO kuwa ndiyo main event.
Nadhani lazima atakuwa na watu wanaojua biashara vizuri, alinde brand yake yaani hata slogans zake asiwe anazitoa kiboyaboya kwani na zenyewe ni biashara pia, asiwe cheap kufanya interviews za bure hovyohovyo.
It's about time apate management inayojua kukuza na kulinda na kuongeza thamani ya brand, atakaporudi tena Kenya(nasikia kaalikwa tena April kwa pambano) the hype will be more than double ya mara hii.
mshenzi tu huyu, awe kuni huko alikoRuge