Sallam SK: Tetema ya Rayvanny imeingiza Dola milioni 230

Sallam SK: Tetema ya Rayvanny imeingiza Dola milioni 230

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
938
Reaction score
1,540
Katika mahojiano ya leo Meneja wa Diamond amedai Tetema ya Rayvanny imeingiza Dola bilioni 230 za Kimarekani, na kwamba Rayvanny ni tajiri na anaongoza.

Pesa hizo alizotaja Meneja SK ni nusu ya pesa za makenikia, ni pesa nyingi sana, sasa sijui ni kweli au kiki msikilize.

 
...
IMG-20210720-WA0017.jpg
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Mleta uzi nafikiri hujasikiliza vizuri ile interview. Kasema tetema ina streams mill 23 spotify ambapo kwa streams mill 1 spotify wanalipa dollah kama elfu 5 kasoro, hapo aliposema ni dollar elfu 10 ndio kachanganya mambo.
 
Back
Top Bottom